MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Moyo wako ni wakutunza pesa tu sio maneno ✌️Hiyo watajua wao, muhimu kutu itoke moyoni😹😹
Wenyewe wameshindwa kutunza siri zao ebooh..!! 🤣
Ahah hii yako kiboko utakuja upigwe na radi ufe kwa aibu kama kijana aliekufa kisa punyetoKucheza kwenye mvua nikiwa uchi .
Yaani hiki kitu nilikatazwa sana ila nimeshindwa kuacha ndio maana mvua ikinyesha nipo mbali na nyumbani najisikia vibaya sana .
Napenda mvua ikianza kunyesha navua nabaki mimi na abdalla kichwa wazi alafu naingia uwanjani nakuwa nakimbia kimbia mara nikinge maji ,mara nikoshe torori langu kikubwa nifurahie kuwa nimenyeshewa .
Kutumia mkono wa kushoto!Hello kuna vitu wazazi walikuwa wanatukataza kabisa kuvifanya na ikibidi ata fimbo utapigwa ila wapi ujaacha
Mimi kula nimelala au nikiwa na kula situlii sehemu moja nitatembea tembea mpaka namaliza kula naweza chukua lisaa kabisa
Kingineni engeezee ni kunywa maji nikiwa nimelala nishakatazwa sana mpaka sasa ila sijaacha je wewe?
😅😅😅 kinapotelea tumboni!Waliniambia nisiwe mlafi, lakini hadi leo, chakula kikifika mbele yangu kinapotea ghafla.
Vitu Gani?Tungi Hilo!Mimi kuna vitu niliacha ila baada ya kuwa free nimeamua kuvirudia ingawaje huwa nakumbuka kwamba sio vizur
Wakat wa kula?Kutumia mkono wa kushoto!
Kila siku Nagonga Msumari wa MwishoBangi
Forever mkeo ajawai kugombaKila siku Nagonga Msumari wa Mwisho
Kula nikitumia mkono (kulia),Kijito_Shoto Moja hadi kuandika!Wakat wa kula?
Hongera kipaji iko mm siwezKula nikitumia mkono (kulia),Kijito_Shoto Moja hadi kuandika!
Kaka itakuwa ndiyo hatma yangu ,maana niliwaza hili nikajichanga nikanunua kizuia radi ,sasa nacho kikishindwa kazi basi itakuwa imepangwa ila ni kitu napenda sana .Ahah hii yako kiboko utakuja upigwe na radi ufe kwa aibu kama kijana aliekufa kisa punyeto
Nope Hawezi mkuuForever mkeo ajawai kugomba
Hadi football ni kushoto mguu,pikipiki zimenishinda kuendesha,Cha kuongea mafuta kiko kulia!Hongera kipaji iko mm siwez
🙌 wew umekuwa affected sana duhKaka itakuwa ndiyo hatma yangu ,maana niliwaza hili nikajichanga nikanunua kizuia radi ,sasa nacho kikishindwa kazi basi itakuwa imepangwa ila ni kitu napenda sana .
Napata shida sana kiangazi uwa inanibidi nichuke mbeseni wa nguo mkubwa nijaze maji niwe nadumbukia na kuruka ruka basi ujihisi nafuu walau ila kikubwa nataka mvua inyeshe alafu iwe inapiga haswa
Huwa na kawaida ya kula haraka haraka,haijalishi nakula na nani,mgeni naweza mpiga gap akabak anashangaaVitu Gani?Tungi Hilo!
Nae anapiga?Nope Hawezi mkuu
Pole sana mashoto nitakuwa nakuitaHadi football ni kushoto mguu,pikipiki zimenishinda kuendesha,Cha kuongea mafuta kiko kulia!
Hivi hivi utoiHuwa na kawaida ya kula haraka haraka,haijalishi nakula na nani,mgeni naweza mpiga gap akabak anashangaa
Sipendag kutoa salaam ya shikamoo,mpaka upate shikamoo yang mpaka uwe na muvi nyingi na ngozi ya uso iliokunjamana
Kuuza auBangi