Nikitu gani wazazi wako walikukataza toka utotoni lakin mpaka sasa ujakiacha umeshindwa kuacha kabisa

Wali maharage aisee hiki kitu kimenishinda siwezi kuacha!
 
Mchaga mbaya sana
But further more kuna watu wa dini fulani wiki moja kabla mzazi wangu hajafariki nilimwambia nimepata mchumba lakini alichukia sana akaniambia Ata kama Nitakuwa chini ya ardhi kamwe usioe watu dini hiyo bahati huwa napata sana wapenz wa dini hiyo hiyo Ila Kila Nikikumbuka lile neno "Ata nikiwa chini ya ardhi usithubutu" πŸ€”
 
Mbadirishe dini akufwate
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ kipolo sio
Bro juzi nilifanya hiking milima fulani Morogoro ni kama km 14 kupanda milima na elevations ni kama 1,666 aisee kufika katikati ya mlima nikapata hamu ya wali maharage hata sijui ilitokea wapi!!
 
Bro juzi nilifanya hiking milima fulani Morogoro ni kama km 14 kupanda milima na elevations ni kama 1,666 aisee kufika katikati ya mlima nikapata hamu ya wali maharage hata sijui ilitokea wapi!!
Kuna majini hapo walikuwa wanaivisha
 
Lakini chimbuko ni chimbuko tu mkuu asili haibadiliki man kubadilisha kwako uraia hakuwezi kufanya wewe ukasahau tanzania -

Infact wengi nakutana nao already mtu ako 24 and above kubadili mtu wa hivi ni kazi mzee
Tafuta yule mzee alikuambia sisi kaka yetu alikatazwa na mzee mpaka anakufa akajitia bichwa gumu juzi mkee kamshikia kisu mbaya zaidi anataka kuua hadi watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…