Nikiulizwa napenda kuiona Sura ya nani (Wanawake) hapa JamiiForums kutokana na Kuvutiwa nao / Kunivutia ni hawa Wafuatao tu.....

Nikiulizwa napenda kuiona Sura ya nani (Wanawake) hapa JamiiForums kutokana na Kuvutiwa nao / Kunivutia ni hawa Wafuatao tu.....

Mimi natamani kuuona uso wa YESU KRISTO mwokozi wa maisha yangu.
Kwani aliamua kuutoa uhai wake ili mimi na wengine tupate uzima wa milele.
Maana hakuna jina lingine litupasalo kuokolewa nalo zaidi ya YESU KRISTO.

MUNGU NI MMOJA NA YESU KRISTO NDILO JINA LAKE.
Amen!
Una uhakika na unachosema. Mkuu yesu aliuawa sababu ya kupingana na sheria za wakati huo wala hakuwa mwana wa mungu. Jiulize mungu kwa nn asimuue shetani akubali kumuua yesu ili kuwakomboa watu wa funia hii
Ukijiuliza in 3D utakundua vilivyoandikwa kwenye bibilia ni historia na bitu vya kutunga
 
Una uhakika na unachosema. Mkuu yesu aliuawa sababu ya kupingana na sheria za wakati huo wala hakuwa mwana wa mungu. Jiulize mungu kwa nn asimuue shetani akubali kumuua yesu ili kuwakomboa watu wa funia hii
Ukijiuliza in 3D utakundua vilivyoandikwa kwenye bibilia ni historia na bitu vya kutunga
Uhakika ni nao ndio maana nimeandika.
MUNGU NI MMOJA NA YESU KRISTO NDIO JINA LAKE. Isaya 9:6-10
 
Back
Top Bottom