Una uhakika na unachosema. Mkuu yesu aliuawa sababu ya kupingana na sheria za wakati huo wala hakuwa mwana wa mungu. Jiulize mungu kwa nn asimuue shetani akubali kumuua yesu ili kuwakomboa watu wa funia hii
Ukijiuliza in 3D utakundua vilivyoandikwa kwenye bibilia ni historia na bitu vya kutunga