Nikivaa hivi ni sawa?

Nikivaa hivi ni sawa?

brenda18

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
5,687
Reaction score
5,287
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
IMG_0591.JPG


Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema

Update
Asanteni nimevaa hivyo hivyo
View attachment 1184439
 
Nguo Nzuri Tatizo Huo Uwazi Utakuondolea Confidence
Chagua Nyingine
Saa Sita Ipo
 
Sio mbaya kama hako kauwazi hakataongezeka zaidi ya kanavyoonekana kwenye picha.
 
Kama hiyo picha ndio wewe haina tatzo, ila kama sio ww inawezekana ukivaa nguo ya namna hiyo isikukae kama ilivyo kwenye hiyo picha.
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
 
Kama hiyo picha ndio wewe haina tatzo, ila kama sio ww inawezekana ukivaa nguo ya namna hiyo isikukae kama ilivyo kwenye hiyo picha.

Imenikaa hivyo hivyo
Tatizo kiuwazi kimezidi kidogo
 
Kwanza geuka tuone kama nyuma imekukaa vizuri. Hiyo suruali kama inaonyesha mifuko si itaonyesha rangi ya chupi? Au huvai?
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
umefanana Bibi cheka aliyechangamka.
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Vaaa kimini utatoka poa,chura ionekane
 
Kama first date hapana.
Kama unakwenda kwenye sherehe ya kazini peke yako hapana lakini upo na mume/boyfriend ipo poa tu.
Niwe mkweli hapa kama kazini kwako kuna fisi wakokwe hawatokuwacha salama next week.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Daslama bhana! Hiiiiiiiii, si wanaume Wala wanawake 🤣🤣🤣
 
Ungeweka na picha yako ndio tungekushauri vizuri,

Usijekuta ngozi limebabuka na kukakamaa halafu uiche wazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. joking
 
Back
Top Bottom