RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kama huna kitambi vaa tu....Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235
Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema