Nikivaa hivi ni sawa?

Nikivaa hivi ni sawa?

Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Kama huna kitambi vaa tu....
 
Kama first date hapana.
Kama unakwenda kwenye sherehe ya kazini peke yako hapana lakini upo na mume/boyfriend ipo poa tu.
Niwe mkweli hapa kama kazini kwako kuna fisi wakokwe hawatokuwacha salama next week.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
First date unatakiwa uvaaje?
 

Attachments

  • boshori.jpg
    boshori.jpg
    19.5 KB · Views: 32
Kama first date hapana.
Kama unakwenda kwenye sherehe ya kazini peke yako hapana lakini upo na mume/boyfriend ipo poa tu.
Niwe mkweli hapa kama kazini kwako kuna fisi wakokwe hawatokuwacha salama next week.


Ndukiiiii [emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️

Hahah tozi unawaza mbali sana mambo hayo hayawezi kutokea
 
Brenda18 u mrembo
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]churaa
Kwanza geuka tuone kama nyuma imekukaa vizuri. Hiyo suruali kama inaonyesha mifuko si itaonyesha rangi ya chupi? Au huvai?
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema
Kwangu mimi mrembo ni kupendeza tu, maadrii yanguo yashapotea sasa. But umeolewa?
 
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
View attachment 1184235

Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with some of my colleagues ambao ni watu wazima kidogo ndio maana nipo sensitive.
Mimi sio mtu ninaejali haswa watu watasema nini kunihusu lakini katika hili nipo dilema

Nimekumiss sana, and the outfit is dope [emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom