Miss u too dear hivi umepotelea wapi sikuoni [emoji3]
Thanks love [emoji173]οΈ
[emoji3][emoji3][emoji3]Vaa nguo zenye heshima, unavaa mitambala halafu unaenda kukutana na watu waliokuzidi umri, poor you.....
Daah inanifit kabisa. Ndaga fijo[emoji28][emoji28]nkamu kama inakutosha pitia uichukue hii
Asante
Nakuombea uolewe dada yangu,
π π π π πDaslama bhana! Hiiiiiiiii, si wanaume Wala wanawake π€£π€£π€£
shida ni pale unakuta watu kadhaa hapo ofisini washapita.Kama first date hapana.
Kama unakwenda kwenye sherehe ya kazini peke yako hapana lakini upo na mume/boyfriend ipo poa tu.
Niwe mkweli hapa kama kazini kwako kuna fisi wakokwe hawatokuwacha salama next week.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]