Nikiwa mkubwa nataka Kuwa Kama smart911 na mahondaw wake

Nikiwa mkubwa nataka Kuwa Kama smart911 na mahondaw wake

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii couple kiukweli naionea gere Sana couple Bora kabisa toka JF ianze inafanya vizuri Kama ile ya nifah na mume wake mzee wa ma story.nataka kwanza niwe na mpenzi Kama mahondaw yaani full Raha mwanamke mjanja halafu hamchoki mchizi smart 911..afu wenyewe hawajui chuki na madiss wenyewe full kushow malove kwa Wana.nawapenda Sana endeleeni hivyo hivyo.
 
Futa kauli kaka
Sasa ana mchango gani ambao unaweza kutufaidi maana kila post nakuta kaandika "sawa","haya"
Maajabu yake yako wapi? anyway ngoja Nika review thread zake za miaka ya nyuma niujue uhakika
 
Nakuheshimu kaka please naomba nieleweeee
Sasa ana mchango gani ambao unaweza kutufaidi maana kila post nakuta kaandika "sawa","haya"
Maajabu yake yako wapi? anyway ngoja Nika review thread zake za miaka ya nyuma niujue uhakika
 
Back
Top Bottom