Nikiwa mkubwa nataka Kuwa Kama smart911 na mahondaw wake

Nikiwa mkubwa nataka Kuwa Kama smart911 na mahondaw wake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usicheke joanah nimekosea Mimi kabanga Ni baba yetu moja ya ma alwatan wa Jf sema siku hizi kapoa Sana lakini tunaishi naye sawa
 
Hii couple kiukweli naionea gere Sana couple Bora kabisa toka JF ianze inafanya vizuri Kama ile ya nifah na mume wake mzee wa ma story.nataka kwanza niwe na mpenzi Kama mahondaw yaani full Raha mwanamke mjanja halafu hamchoki mchizi smart 911..afu wenyewe hawajui chuki na madiss wenyewe full kushow malove kwa Wana.nawapenda Sana endeleeni hivyo hivyo.

Inapendeza sana...

Ukinipenda nitakupenda, ukinichukia nitaendelea kukupenda, wala sitakuchukia...

Ukiwa open na mtu wako na mkaheshimiana ila siyo kuogopana mambo siku zote huenda barabara...

🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

Cc: mahondaw
 
Inapendeza sana...

Ukinipenda nitakupenda, ukinichukia nitaendelea kukupenda, wala sitakuchukia...

Ukiwa open na mtu wako na mkaheshimiana ila siyo kuogopana mambo siku zote huenda barabara...

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Cc: mahondaw
Hongera Smart911 na mahondaw wako kua kioo cha jamii forum
 
Nikiwa mkubwa napenda kuwa kama Mohamed Said na FaizaFoxy wake

Jaaamani hadi rahaaa mbona ntanenepaa mie..!
 
Inapendeza sana...

Ukinipenda nitakupenda, ukinichukia nitaendelea kukupenda, wala sitakuchukia...

Ukiwa open na mtu wako na mkaheshimiana ila siyo kuogopana mambo siku zote huenda barabara...

🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

Cc: mahondaw



Thanks sweetheart ..you and I forever and ever..
Also Special thanks to ndege JOHN jaman nashukuru Sana ,
 
Back
Top Bottom