ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Halafu we jamaa una ID nzito kabanga lakini hunaga points kabisaHaya...wakoje?
Toa hio VantMi nikikua mkubwa nataka nikue kama babu yangu Asprin ni mwendo wa kuchakata K Vant mwanzo mwisho.
Halafu we jamaa una ID nzito kabanga lakini hunaga points kabisa
Demi wewe ukikua mkubwa utakua kama mkwe wangu Evelyn SaltFuta kauli kaka
yupo vizuri ila huwezi kumuona zaidi yanguMkuu huyu espy naona kapotea kabisa haonekani humu kulikoni.
Smart guy
Haya mfikishie salam zangu mwambie nampa hii.yupo vizuri ila huwezi kumuona zaidi yangu
Sasa ana mchango gani ambao unaweza kutufaidi maana kila post nakuta kaandika "sawa","haya"Futa kauli kaka
Demi wewe ukikua mkubwa utakua kama mkwe wangu Evelyn Salt
Sasa ana mchango gani ambao unaweza kutufaidi maana kila post nakuta kaandika "sawa","haya"
Maajabu yake yako wapi? anyway ngoja Nika review thread zake za miaka ya nyuma niujue uhakika
Nimeamini asee naomba radhi Sana kumbe kabanga Ni baba yetu Tena baba mkubwa kabisa.Nakuheshimu kaka please naomba nieleweeee
πππππHalafu we jamaa una ID nzito kabanga lakini hunaga points kabisa