ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
Usicheke joanah nimekosea Mimi kabanga Ni baba yetu moja ya ma alwatan wa Jf sema siku hizi kapoa Sana lakini tunaishi naye sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii couple kiukweli naionea gere Sana couple Bora kabisa toka JF ianze inafanya vizuri Kama ile ya nifah na mume wake mzee wa ma story.nataka kwanza niwe na mpenzi Kama mahondaw yaani full Raha mwanamke mjanja halafu hamchoki mchizi smart 911..afu wenyewe hawajui chuki na madiss wenyewe full kushow malove kwa Wana.nawapenda Sana endeleeni hivyo hivyo.
Nimeamini asee naomba radhi Sana kumbe kabanga Ni baba yetu Tena baba mkubwa kabisa.
Hongera Smart911 na mahondaw wako kua kioo cha jamii forumInapendeza sana...
Ukinipenda nitakupenda, ukinichukia nitaendelea kukupenda, wala sitakuchukia...
Ukiwa open na mtu wako na mkaheshimiana ila siyo kuogopana mambo siku zote huenda barabara...
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Cc: mahondaw
hujaiona kapo ya MO11 na @espy
Nyie kuleni bata mpaka kuku waone wivu.
ndo uzuri wakeCouple ya kutongozana upya kila siku!
Inapendeza sana...
Ukinipenda nitakupenda, ukinichukia nitaendelea kukupenda, wala sitakuchukia...
Ukiwa open na mtu wako na mkaheshimiana ila siyo kuogopana mambo siku zote huenda barabara...
π π π π π π
Cc: mahondaw
..