Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa na 1.5-2M naweza pata sound gani kali ya nyumbani ya heshimaHabarini WanaJamvi!
Naomba Kueleweshwa Mziki mzuri wenye Mkito wa Maana hususani kwenye Home Theater Sony na Wengineo. Ushauri wenu Unahusika, tafadhali.
Karibuni Wadau.
Umeolewa kumbe[emoji3]Babe katika ubora wako[emoji7], pele limepata mkunaji, uko vizuri sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikua unanimendea nini😜?? Tena nna watoto 7 na wajukuu 3😀😀Umeolewa kumbe[emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimefurahi umepata mumeUlikua unanimendea nini[emoji12]?? Tena nna watoto 7 na wajukuu 3[emoji3][emoji3]
wenye watoto wanakuaga watam sana...ukiachika tupeane taarifa mkuu, tumalizie uzee wetu.Ulikua unanimendea nini[emoji12]?? Tena nna watoto 7 na wajukuu 3[emoji3][emoji3]
Kwa sababu ni wewe tayari nishaachika mkuu karibu mzee mwenzangu 😀wenye watoto wanakuaga watam sana...ukiachika tupeane taarifa mkuu, tumalizie uzee wetu.
Umeachika lini io mzee mwenzangu?mi sipendi kupata lawama ya kumnyang'anya mtu tonge mdomoni...ila km umeachika kwa heri basi ni vyema, mapenzi ya watu wazima matam sana,hayana drama kabisa.Kwa sababu ni wewe tayari nishaachika mkuu karibu mzee mwenzangu [emoji3]
Hamna drama sisi ni matured mzee mwenzanguUmeachika lini io mzee mwenzangu?mi sipendi kupata lawama ya kumnyang'anya mtu tonge mdomoni...ila km umeachika kwa heri basi ni vyema, mapenzi ya watu wazima matam sana,hayana drama kabisa.
Haah sana tu...vp kuna haja ya mahari mzee mwenzangu?, matarumbeta na shangwe, au kimya kimya tu, tunawahi church misa ya kwanza Padri anafanya yake, by the time watoto waanamka wanakuta shughuli ishaisha...tupo mezani tunapata kifungua kinywa, tuwahi vibaruani...[emoji1787][emoji1787]Hamna drama sisi ni matured mzee mwenzangu
Ewaaa matarumbeta ya nini, Kimya kimya ndiyo nzuri mzee mwenzangu! Hela za matarumbeta tunazipeleka kwenye miradi😂Haah sana tu...vp kuna haja ya mahari mzee mwenzangu?, matarumbeta na shangwe, au kimya kimya tu, tunawahi church misa ya kwanza Padri anafanya yake, by the time watoto waanamka wanakuta shughuli ishaisha...tupo mezani tunapata kifungua kinywa, tuwahi vibaruani...[emoji1787][emoji1787]
Wapo wapi hawa jamaa?Hawa jamaa na mimi niliwaona Instagram then siku moja nikabahatika kutembelea showroom yao, jamaa wana vitu classic hatari.
Wana ma Hi-Fi na ma speakers ya kila aina hela yako tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo watts ni peak sio rms
Speaker moja tu la 1000w rms huwez weka ndani utakuta hadi nguo zimevurugika kabatini
[emoji3][emoji3]Mkuu unajua keyboard yako inahifadhi maneno unayotumia ili badae ikupe suggestion au wakati mwingine inafanyika auto correct
Nishaingia sehemu 1 ya kupunguzia stress,mle ndani ule mziki unagonga hadi unahis kuna mtu nyuma ako anakusukumiza😁😁 nilipo kuna club ina candy mbili tu club nzima hizo ni za bass 1000w rms each na zingne za saut kawaida!! Pia kuna bar flan ina fidek moja la watts 800 sub linafumua hatari bia zinacheza tumboni afu vijana mnaongelea watts zisizo na uhalisia