Nikiwa na 10-15M naweza pata gari gani ya juu?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Habari wadau,

Kwanza kabisa niwe mkweli, sijui lolote kuhusu magari. Ndiyo naanza kupambana na mimi niwe na usafiri wangu.

Nataka kujua kwa kiasi cha milioni 10-15 naweza pata gari gani ya juu nzuri na ya safari ndefu.

Note: Toyota ndiyo brand nayona itanifaa.
 
Kwa uhakika zaidi unaweza pata volzt na rav4 kwa around 16.5m hivi. Kwa hiyo 15 labda umvue mtu hapa hapa bongo kwa pungufu ya hiyo 15m mkuu.

Hiyo 15m yenyewe ina mpaka sh 50 za coins ujue nilivyo dunduliza [emoji1][emoji1] Voltz kama kadogo hivi, angalau RAV4 Kilitime sawa ila nasikia kuna yenye injini moja ya 1990cc siyo nzuri kabisa.
 
Hiyo 15m yenyewe ina mpaka sh 50 za coins ujue nilivyo dunduliza [emoji1][emoji1] voltz kama kadogo hivi angalau Rav4 kili time sawa ila nasikia kuna yenye injini moja ya 1990cc sio nzuri kabisa .
Ndio ipo pia ZZT 240 CC 1790 ni nzuri kwa mkononi unaweza pata hiyo ikiwa na hali nzuri sana kwa budget yako.
 
Tafuta VOLTS,RUSH..hizi gari moja wapo itakufaa Sana hasa Kwa Safar ndefu na hata mijini pia
Volts ina cc1790 hii gari ni ngumu na inaweza kusafiri umbali mrefu bila kuchemka engine

Kwa kulinganisha voltz, rush au rav4 kilitime ile 1790cc ipi kati hapo inaweza kuwa nzuri kama ikipatikana kwa bei hiyo?
 
Habari wadau.
Kwanza kabisa niwe mkweli sijui lolote kuhusu magari, ndio naanza kupambana na mimi niwe na usafari wangu.
Nataka kujua kwa 10-15M naweza pata gari gani ya juu nzuri na ya safari ndefu.

Note: Toyota ndio brand nayona itanifaa.
Kimomwe Motors waagizaji wa magari kutoja nje ya nchi ni suluhisho la suala lako.

Gari za bajeti yako ambazo body yake ni SUV ni kama ifuatavyo:-

1. Harrier Old Model
2. Nissan Xtrail
3. Rav 4 Old Model
4. Mitsubish Pajero Io
5. Mitsubish Outlander
6. Subaru Forester
7. Nissan Dualis

Kwa uchache nazikumbuka hizo. Zaidi tembelea ofisini kwetu Magomeni Mapipa au piga sim namba 0746267740
 
Sawa sawa Boss, vizuri umuwekee na gharama za Wharpage, Shipping Line, Agency Fee, Registration + Plate number na TPA charge ambazo ni lazima zilipwe pale bandarini.

Ila pia muagizaji anatakiwa kujua nini cha kufanya ili ushuru alioona kwenye screen ndio huo huo alipie siku gari ikifika maana ukisoma vizuri ule ushuru utaona system ya TRA imeeka wazi kwamba CIF ya hiyo gari husika labda ni Dola 2700 ndio mana wamechaji 7.6m, umejiuliza watachaji kiasi gani iwapo gari ina CIF value tofauti na waliyotumia wao???
 
Habari wadau.
Kwanza kabisa niwe mkweli sijui lolote kuhusu magari, ndio naanza kupambana na mimi niwe na usafari wangu.
Nataka kujua kwa 10-15M naweza pata gari gani ya juu nzuri na ya safari ndefu.

Note: Toyota ndio brand nayona itanifaa.
Vuta Allion ule maisha
 
Tafuta VOLTS,RUSH..hizi gari moja wapo itakufaa Sana hasa Kwa Safar ndefu na hata mijini pia
Volts ina cc1790 hii gari ni ngumu na inaweza kusafiri umbali mrefu bila kuchemka engine

Rush ni delicate sana, halafu haina balance kabisa.

Voltz last production ilikuwa 2002/3 kama sijakosea, nahisi kama litakuwa so old.

Labda labda atafute Rav4 za kichaga zile.
 
Rush ni delicate sana, halafu haina balance kabisa.

Voltz last production ilikuwa 2002/3 kama sijakosea, nahisi kama litakuwa so old.

Labda labda atafute Rav4 za kichaga zile.

Kweli ongea na watu uvae viatu, sikujua hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…