Mipangomingi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,713
- 2,062
Nimemjengea mtu nyumba tegeta ya vyumba vitau na masta moja dining jiko na stoo, varanda mbili tena zote zimemwagwa zege....shiling mil30 imetumika mpaka sasa na imebaki rangi, alluminium, na gypsum tu.....
Kuanzia hapo ndo utakuja jua kwamba ujenzi wa nyumba ni finishing' mkuu sio boma. Nami niliwahi kusimamisha boma moja kwa 45m, nikaanza kujiona nimeukata, aisey ilinichukua zaidi ya hiyo kuwa na 'nyumba' almanusura nigombane na mafundi, gypsum, rangi, aluminium,tiles,toilets,wiring, water system, nk,acha kabsaa!