Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Wakuu habari za majukumu,
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani?
Update.
Nashukuru nimepata link. Meditation: Maana, njia na faida zake
Huwa ninafanya mazoezi, na kila baada ya mazoezi nakaa kitako, nafumba macho nikivuta hisia. Wakati huu napaswa kufikiria jambo gani?
Update.
Nashukuru nimepata link. Meditation: Maana, njia na faida zake