Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia

Kuna binti alikuja niomba ushauri kuwa anataka kuingia katika ndoa na jamaaa m'moja ambaye yupo vema kimaisha, anampenda na yupo tayari kumuoa hata kesho.

Me nikamuuliza swali unategemea nini kutoka kwa jamaa ndoa ikishafungwa yaani awe na wajibu gani kwako katika maisha yenu pamoja. Akanitajia vitu vya kawaida tu kuwa anitunze, nipatie mahitaji kama mavazi, urembo, pocket money, ahudumie watoto, alipe kodi na tujenge ya kwetu, anisaidie pia wazazi na ndugu zangu pale wanapohitaji msaada wangu,anifungulie biashara yangu, anipende kwa dhati asinisaliti wala kuwa na mwanamke mwingine nje yangu yaani awe mwaminifu.

Nikamkatisha kwa kumwambia sawa kwakifupi awe vema kifedha ili aweze kukupa yote hayo sababu akiwa hana pesa then 90% ya hayo uliyosema hayatafanyika.

Nikamuuliza sasa wewe jamaa anataka kukuoa , ategemee wewe kutimiza majukumu yapi na kuwa na wajibu gani kwake?!

Akasema, nitamzalia na kulea watoto wetu, nitampikia chakula kizuri, nitampa penzi kitandani,nitamfulia nguo na usafi wa nyumba, nitakuwa namfariji wake. Kamaliza.

Nikamuuliza kwahiyo hayo ndio majukumu na wajibu wako?! Akajibu ndio.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nikamwambia achana na ndoa nenda kaombe kazi ya uhousegirl tu, sababu nimekusikiliza unanitajia majukumu ya house girl na mdangaji kwa asilimia kubwa, sijaona ukinipa majukumu ya MKE WA MTU.
 
Eeeh bwana ehh ni Mimi Mr. Liverpool Tena.

Weekend hii tumempiga Manure na nyundo Kali sanaa mpaka kapoteana.!!
Sasa jiulize ile ilikua Old Traford, je wakija Anfield..!!!
Wewe hua unapenda kuwaambia wenzako wasioe ila subiri siku yakukute ndo utajua maana ya Mke hlf yakikukuta njoo ulete stori hpa kma unavoleta za wenzako
 
Kila mtu afanye analoona kwake ni sawa, kuna watu wameoa na wanaishi fresh kabisa sio ndoa zote ni mbaya kuna ndoa zingine watu wanafurahia.
 
We jamaa utakua una shida mahali alafu unapretend uko sawa. Mwandiko wako tu unasadifu hayo.
Budah..!!
Mtu yeyote anaye amini tofauti na unachoamini haimaanishi ana tatizo.

Anamaanisha AKILI ZENU HAZIFANANI.

Umekua kinara wa kukatisha tamaa watu wasioe..sijui unafaidika na nini kumtumikia shetani.
Kutokuoa ni ushetani?
Kwahiyo..
Mapadre, Benzos, Dangote, Bill gate, Judge mkuu fulani (certain time) wa Kenya, Kanye west na wengine wengii wenye mafanikio duniani hawajaoa au wamekimbia ndoa.

HAWA WOTE NI MASHETANI
Mungu akusaidie sana maana seems una changamoto tusiyoijua..
Kukataa kuoa hakuusiani na Mungu ni maamuzi yako binafsi.

Ina maana Rajan Ratan mwenye kampuni ya Eicher Tajiri mkubwa India hajaoa.

Ana changamoto yoyote na Mungu?

MUNGU HUBARIKI MAAMUZI YA MTU.

TAFUTA HELA KIJANA ILI ULE MAISHA.

Usisahau nyuzi za malalamiko humu kila siku tunaletewa.

#YNWA
 
The help I need is MONEY and MORE MONEY ili nifaidi maisha.

We subiri mumeo akose pesa watu wazijue rangi zako vizuri.

Nasikia siku hizi mnawaita "mbwa" na sio mume wangu Tena.

Ila pia usome humu ndani watu wanavyofunguka.

Usisahau Comment #40

#YNWA
 
Wewe hua unapenda kuwaambia wenzako wasioe ila subiri siku yakukute ndo utajua maana ya Mke hlf yakikukuta njoo ulete stori hpa kma unavoleta za wenzako
Kuna wenye wake yamewakuta makubwa na yakawaua kwasababu ya mke.

Husikii Wala husomi kila fulani kaua na yeye kajiua kwasababu ya mke?

Unadhani yule mwamba wa Kigamboni bila kuoa angekua kachoma mtu na gunia la mkaa na muda huu anasubiri kunyongwa tu mahabusu..!!!

Hawa wameao, mbona sasa matatizo yanawakuta?

Ila hizi comment humu unazisoma.

Anza na #40.

#YNWA
 
Hawa watu inataka moyo sana kuishi nao! Yani kimsingi hamna haja ya kushangaa huyo mke jamaa alifosi yeye
Wenye moyo endeleeni kuishi nao kwa moyo mimi huwa naishi nao kwa akili na ukauzu..

Pili huwa najitahidi kuwe na uwajibikaji wa wote,siwezi toa mtaji mimi afu pesa mtu aseme ni zake,aisee ataenda kwa baba yake ampe mtaji Ili atafute pesa zake.
 
Kila mtu afanye analoona kwake ni sawa, kuna watu wameoa na wanaishi fresh kabisa sio ndoa zote ni mbaya kuna ndoa zingine watu wanafurahia.
Nyingi ni Vimeo hata hao unaosema wanaishi vizuri inategemea uelewa wa mwanamke na mwanaume..
 
Hapo ndipo huwa nachoka na hutu tu story twa wanaojiita wazee wa system

Kwahiyo mnatushauri tutafute hera mpaka tuzeheke na watoto tutawapataje ili kutimiza andiko la Mungu nendeni mkaijaze Dunia.
 
Wengi wanaoa wasindikizaji, ndio maana hizi changamoto wanakutana nazo
 
Usije ukaingia kwenye 18 za HR .hakuna rangi utayoacha kuiona vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…