Nikiwaambia msioe muwe mnasikia; kwa miezi 4 mwamba kaishi maisha magumu bila mshahara kumbe mkewe ana laki 8 ndani, na usaliti juu kaambulia

We jamaa utakua una shida mahali alafu unapretend uko sawa. Mwandiko wako tu unasadifu hayo.

Umekua kinara wa kukatisha tamaa watu wasioe..sijui unafaidika na nini kumtumikia shetani.
Mungu akusaidie sana maana seems una changamoto tusiyoijua..
Mkuu huyo dogo alitombewa mkewe
Ameadhirika kisaikolojia
 
Mkuu huyo dogo alitombewa mkewe sasa ile hali inamuuma akaanzisha kampeni rasmi hakuna kuoa
Halafu yeye ameoa na ana watoto
 
Mwamba ambae haamini unachoamini haimanishii hayuko sawa.
Ni mawazo tu mnatofautiana.

Usike dunia yenye watu Bil 7 iamini unachoona wewe ni sahihi.

Ni hayo tu.

#YNWA
Kama unalijua hilo kwa nn unahamasisha watu wasioe
Kama watu wanatofautiana??
Tena wapo billion 7 kwa hiyo unataka wasioe kama wewe
Acha uhuni wako kijana

Hakuna mtu amekuolazimisha uoe na hakuna mtu anamlazimisha mtu mwingine aoe

Tulia fanya kile kinacho kupa furaha ya maisha yako

Toa upumbavu wako hapo na kampeni yako ya kishetani
 
Mbona sijakuelewa braza.....

Halafu relax "Ukiwa unajenga hoja na mtu ukaona huna cha kusema ila pia hukubali basi just kubali kutokukubaliana"

Huna haja ya kum "attack" mtoa mada.

Sasa mara unakubali mara Tena "MPUMBAVU" hebu kunywa castle lite then relax halafu tuendelee.

Kuoa Kuna faida gani ikiwa kama utafilisika mwisho wa siku utaachwa?

#YNWA
 
Yaan mkuu tangu yule mchungaji akutombee mkeo unafikiri wote wanatombewa kama wako???

Mi sijawahi kuoa braza.

Alikua girlfriend.

Na ukitoa yule nyuma yake Kuna mawili tukiachana baada ya kuwaambia "MI SITAKI KUOA, kama kupeana raha Sawa ila kuoa hapana"

Walivyoshindwa wakasepa then nikapata mbunye nyengine.

Nakataa kuoa ila pia NAKUWA WAZI KWA MTOTO WA WATU KWAMBA SITAKI KUOA, Achague yeye, kuendelea au kusepa.

Yaan mkuu tangu yule mchungaji akutombee mkeo unafikiri wote wanatombewa kama wako???
 
Yaan mkuu tangu yule mchungaji akutombee mkeo unafikiri wote wanatombewa kama wako???
Jifunze AGREEING BY DISAGREEING.
Huna haja ya kuattack personal leta hoja.

Kwanini UOE ila eti sijui we msenge, MPUMBAVU, fala, mjinga we, katombewa na maneno ya kumhit mtoa mada hayako poa.

Hata Mungu alipokutana na Shetani kumuongelea Ayubu, hakumtukana ila walitoleana hoja.

LEta hoja.

Kama huna na hukubaliana na mada basi agree to dis-agree.
Muachen jmn alitombewa mkewe sasa ile hali inamuuma akaanzisha kampeni rasmi hakuna kuoa
Refer to the comment above.

Mkuu huyo dogo alitombewa mkewe
Ameadhirika kisaikolojia
Refer to the comment above.

Mkuu huyo dogo alitombewa mkewe sasa ile hali inamuuma akaanzisha kampeni rasmi hakuna kuoa
Halafu yeye ameoa na ana watoto

Sijao ila Nina watoto wawili.

Mmoja naishi nae ila mwengine mama mtu kagoma.

Ila wiki hii nimeongea nae naona kama analegeza vile.

Maana kaniahidi mwezi wa 12 atamtuma home aje kunisalimia.

SITAKI KUOA MY CHILDS ARE ENOUGH.

🎉🎉🎉🎊🎊🥳🥳🥳

#YNWA
 
[emoji3516]
KAMA NA WEWE UNAKUBALIANA NAMI KUWA HII BUNILIZI NI CHAI KUTOKA KIWANDA CHA TATEPA,

NAKUPA MWALIKO KUWA NAENDA KUOA MKE WA TATU WIKI IJAYO.
Mwisho wa siku mnakomaa na maneno yenu KITANDA HAKIZAI HARAMU.

#YNWA
 
Hiyo ela yake ya vipodozi na kusuka.
Wanaume tutsfute hela kwa nguvu zote,
Sio kumnyanganya mkeo vihela vya mboga
Si mnaoa ili kusaidiana na 50/50 au kwenye pesa hakuna 50/50 na kusaidiana.

#YNWA
 
Cop mwenzangu kunywa soda nakuja kulipa,
Maswali ya kujiuliza ni km ifuatavyo?
Je misingi ya ndoa ni IPI? Je ni pesa? Na km jib ni hapana aje mdada pm nimuonyeshe maisha magumu mwenzangu uku anatafuta wa kuoa ampati maana hana ela. Nasema ivi kwasababu zifuatazo,
1. Akuna mdada cku izi mwenye ndoto ya kuolewa na maskini.
2. Ndoa nyingi zinafungwa na wanaume wenye ahueni ya maisha. Ukweli unao mwenyewe.
3. Wadada walio wengi wako tayar kuolewa na mwanaume yeyote mwenye ela wakati yupo anaempenda. Matokeo yake anaenda kuolewa na anaendelea kutoa penzi kwa x. Concl. Hata km unazo ela sio guarantee kwamba unapendwa cha kufanya tafuta mzigo kula rudi kafanye maendeleo yako.
#Conclusion Ndoa sio ajira wadada tafuteni kazi za kufanya na km unampenda mtu mpende akiwa maskini ivyo ivyo ili mkajenge maisha wote kuna raha yake.
Na mlio na maisha alaf amjaoa kulen tu maisha maana mko kwenye hatari ya kuoa gold diggers watakuja kuwaharibia maisha, na mkitaka kuoa nendeni mkaoe wanawake wenye maisha pia ambao wanatoka familia zenye maisha maana apo km akisema anakupenda afazali sio wakina mwaj ndala ndefu hawa awana akili walio wengi njaa zao ndio zitawaleta kwenu.
Point to note: mtoto wa kishua akikupenda anakupenda kweli.
Naomba kuwakilisha.
 
Daah inasikitisha sana kwakweli. Hawa viumbe wanatufanya wanaume tutafika mbinguni tukiwa tumechokaa sana.
 
Ni phase hii tunapitia, kunakizazi kinakuja ndoa itakua inatafutwa kwa torch...kwa sababu namna ya watu (wanaume kwa wanawake)kufikiria imebadilika kama si kuongezeka...
Wanawake unaongezeka kiasi cha kujua mapungufu ya wanaume na kuwafanya ngazi ya maendeleo au punda wa kuwafikisha kwenye mafanikio yao...wanajua kabisa wanaume wako blinded kutokana na stereotypes zilizowekwa miaka nenda rudi....wanacheza karata zao vizuri haswaa...wanapata vyeo, wanapata utajiri, wanaishi maisha mazuri kwa njia hiyo...
'Jikaze kiume' ,'mwanaume gani unalalamika maisha magumu' 'big boys don't lament ' ni kauli zinazotolewa ili upate aibu, ukapigike yeye ateleze tu, huku yeye huoni hata cent tano yake...
Wanawake wengi(hata humu) wanang'ang'ania ndoa kwa sababu inafaida kubwa kwao...ukiona mtu anakukazania uingie kwenye jambo fulani/fursa fulani ili unufaike, jua kabisa wewe ndio fursa...

Wanaume nao wanafumbuka macho miaka ya karibuni, (kwa sababu ya msoto)...wengi wameanza kufanya transactions(kama wanawake)...unanipa ninachotaka na mimi ninakupa unachotaka e.g unanipa sex nnakupa hela, kulea watoto bila kuwaweka kuwa ndio fimbo ya kunyonywa n.k.

Swali kubwa hapa ni, ndoa inafaida gani kwa mwanaume??
 
[emoji23][emoji23][emoji23]jaman si amesema hajawahi kuoa
Heheheh kwa kwel ndo ukubwa huo amna namnaa

He is very arrogant mkuu. Yaan ukiangalia kwa makini unaona uvulana mwingi ndani yake. Tumpe pole

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Sijao SIHITAJJ KUOA KABISAAA

ila Nina watoto wawili.

Mmoja naishi nae (5 Yrs) na mama ake kaolewa ana maisha yake.

Ila mwengine/wa pili mama ake kagoma kunipa kwasababu ana mwaka na miezi 10 (Dec/2019).

Ila wiki hii nimeongea nae naona kama analegeza vile.

Maana kaniahidi mwezi wa 12 atamtuma home aje kunisalimia.

Nilichomuomba nae akiolewa anipe Mimi mtoto yeye akatafute wengine na huyo mume wake atakaye mpata.

SITAKI KUOA MY CHILDS ARE ENOUGH.

Siamini kama kupinga kuoa ni "Arrogant boy" maana hata huyo Tajiri wa India Rajan alishawahi sema "mahusiano hupunguza akili"

Kwahiyo kwa kauli hii ya Tajiri wa India nikisema nilinganishe mafanikio na akili basi ina maana miss pablo HUNA AKILI maana yeye hana mahusiano NI TAJIRI..!!!

Lakini pia hata Bill gate na Bezos walishawahi nukuliwa "Nimeachana na ndoa kwasababu inanibana sanaa"

Wali maanisha NDOA zinafanya wasi concentrate na Mali zao.

Kwa staili hiyo..

Nikisema nii oppose hoja yako na opinion zao basi miss pablo NDOA INAKUCHELEWESHA SANAA.

Matajiri wakina Dangote, Bill gate, na Benzos walishtuka kwa kuchelewa na kuachana na ndoa.

Ni hayo Tu.

#YNWA

#YNWA
 
MY CHILDS ARE ENOUGH NDO NINI[emoji706][emoji706][emoji706]
Halaf acha kujifananamisha na matajiri kujifariji. Nyie ndo mukiumwa hamna anayeeleweka katika kuwauguza

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…