wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mkuu ndo hawa wale wanaoandika getini (mbwa mkali) kwa kasabu tuu kuna warembo!!!ikifika mda wa kuolewa umepitiliza wanaandika tunauza ice crem!!!una haki gani ya kuwagombania dada zako. Sema kama unawataka.