U always amazing dah hunaga zilee za kidadaduu yaan
Aliacha sugu mwenye album 10 akarudi tena sembuse huyo mbisha ambaye hana hata album moja.
Baba malcom amesanda game...kweli game tafu....
Kuropoka sio kuzuri mkuu km humjui Niki unakula kimya tu
Una uhakika kuwa ana album wewe shabiki wa msaga sumu keep quity kama una unachojua kuhusu mziki wa hip_hop
Naujua mziki wa hiphop kuliko hata wewe unayejiona unaujua,mie sijaanza kufatilia mziki wa kina wiz khalifa,nimeanza kufatilia mziki tangia kina Master P wanaanza kutoa single,make say uh na na naaaaaaa,enzi hizo kina shaq oneil wanachana,enzi hizo kina nas wanatoa affirmative action 96' acha hate me now ya 1999,enzi hizo Naught By nature watoa OPP 1991 ,Xzibit bado hajulikani kabisa na wala hajatoa single yake ya paparazi.
Umekurupuka kama haujui usiongee. .mbishi ana album tatu
Naujua mziki wa hiphop kuliko hata wewe unayejiona unaujua,mie sijaanza kufatilia mziki wa kina wiz khalifa,nimeanza kufatilia mziki tangia kina Master P wanaanza kutoa single,make say uh na na naaaaaaa,enzi hizo kina shaq oneil wanachana,enzi hizo kina nas wanatoa affirmative action 96' acha hate me now ya 1999,enzi hizo Naught By nature watoa OPP 1991 ,Xzibit bado hajulikani kabisa na wala hajatoa single yake ya paparazi.
hawa madogo kumjua lil wyne na young killer ndio wana jiona wanajua sana hiphop,kumbe watu wametoka mbali na haya mahip hop enzi zile za kuvaa mashati makubwaaa ya dogdog chini una bonge la jeanz oversize basi ndio ulikua una onekana bonge la hardcore ha ha ha those dayz duuh.
Naujua mziki wa hiphop kuliko hata wewe unayejiona unaujua,mie sijaanza kufatilia mziki wa kina wiz khalifa,nimeanza kufatilia mziki tangia kina Master P wanaanza kutoa single,make say uh na na naaaaaaa,enzi hizo kina shaq oneil wanachana,enzi hizo kina nas wanatoa affirmative action 96' acha hate me now ya 1999,enzi hizo Naught By nature watoa OPP 1991 ,Xzibit bado hajulikani kabisa na wala hajatoa single yake ya paparazi.
Aliacha sugu mwenye album 10 akarudi tena sembuse huyo mbisha ambaye hana hata album moja.
Kabisa Chinga,hawa madogo wa mulugo wana shida sana,enzi hizo tulikuwa tunavaa mashati ya snoop doggy na unakula ma -flana ya OPP acha tu kitambo sana nadhani hao madogo walikuwa hawajazaliwa kabisa hata mimba haijatunga,ndio kwanza baba yake alikuwa anamfukuzia mama yake,Kumjua lil wayne na young killer na wao wanajiona wanajua hiphop.
Nazani unachokizungumzia hukielewi..
Kutengeneza album ni uamuzi wa msanii na anajua yeye ataiuza vipi..
Ukichukua nyimbo za mbishi zote unaweza tengeneza album zaidi ata ya kumi na moja...
Labda uzungumzie swala lingine ila sio wingi wa nyimbo.. Mbishi ana nyimbo nyingi sana.
Hahaha...kuna jamaa wanaitwa sophists walikuwa wanahusika na masuala ya elimu nchini ugiriki zamani saana achana na plato.socrates wa Athens ya ugiriki pia. .sasa sjajuaga kama ndo wametuachia hiyo laana ya kupropose na kuopose muda huo huo na kushinda. Me wala sina shida na wew bro coz najua binadamu lazima tutofautiane katika mambo flan flan...tatizo linakuja wapi wew umesema Aliacha sugu mwenye album 10 akarudi tena sembuse huyo mbishi ambae hana hata album moja...kwa maelezo yako nikwamba mbishi hana album hata moja..so nakushangaa saana..me sjui vingi na najua vingi pia linapotokeaga suala la kusahihishwa huwa Nakubali pale nlipokosea...kama wew unaroho ya kutokubali ulipokosea poa usnipotezeeee muda man....
hahaahaaaaaa
mi napenda mziki wowote ule na nimfuatiliaji mzuri tu ila sasa majukumu tu yanapunguza kasi
sa unajishaua nini ku8muongelea mtu usiyemjuaHata nikimjua haniongezei chochote kwa bank.