gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,610
Niambie kwanza wewe kwanini hadija kopa ni msanii wako bora wa hip hop? Braza hatuongelei vigodoro wala baikoko humu, hii sio sehemu yako, umekosea mlango aise.. kuna thread zingine uko chini kaongelee mambo ya kina wema, uku hatujui bei za maweavin aise
Sasa hapo umejb nn?
Sishangai ww kua shabiki Wa weusi kwa ubongo kama huu
Ila plz usijiite hiphop