qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Mnaodai publicity kwani nikki kaanza leo mziki... Uzuri wa watamaduni wengi hawaimbi njaa ndo maana wengi wao shule wameenda japo certificate...
Huyo Nikki angekuwa na njaa sana si angeendelea na kazi yake si ana Diploma yake ya Engineering pale Must...
Ukweli ndo huo Tamanduni they real watamaduni ndo maana hawaendekezi promo wala kujipendekeza kwenye media na bado album zao wanauza wenyewe na Kilinge wamekitangaza wenyewe mpk sasa wengi wanakijua.
Huyo Nikki angekuwa na njaa sana si angeendelea na kazi yake si ana Diploma yake ya Engineering pale Must...
Ukweli ndo huo Tamanduni they real watamaduni ndo maana hawaendekezi promo wala kujipendekeza kwenye media na bado album zao wanauza wenyewe na Kilinge wamekitangaza wenyewe mpk sasa wengi wanakijua.