Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kwenye introduction ya kipindi huwa anatamka kwamba anao wahoji ni marafiki zake, so kipindi ni Salama na marafiki zake.
Sasa kama Nikki Mbishi siyo rafiki, hawezi kutokea.
Labda kama Salama angesema ni kipindi kwa ajili ya wote halafu akaita marafiki zake tu ndo ingekuwa kakosea, otherwise maudhui ya kipindi yanaendana na anaowaita.
Ndio maana kipindi kimedoda, atleast mkasi kilikua juu , aendelee kupiga story na mashoga zake , marafiki hao kwio mxieew
Hatuna mtu hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Kama umeandika vice versa. Kama ni biashara basi anapaswa kuangalia demand na sio ushkaji. Kama kweli anaangalia ushkaji basi hiyo ni charity group.Kipindi ni chake halafu mnataka alete watu hasiopatana nao halafu aongee nao nini, hii ni biashara na sio charity group.
Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya kuwa Salama Jabir ni kati ya watangazaji wachache wenye mvuto na waledi kwenye career yake hiyo, Msanii wa hip hop, Nikki mbishi, amemvaa Mtangazi huyo mwenye hulka ya ki tomboy na kumwambia kuwa vipindi vyake karibia vyote huwa anawahoji wasanii ambao ni washkaji zake, akatolea mfano baadhi ya vipindi ambavyo alikuwa anawahoji wasanii wale wale ....
Ila nadhani Hata mimi nimegundua hiki kitu, Salama ana wasanii wake ambao huwa anapenda sana kufanya nao enterview mara kwa mara ambao mara nyingi ni washkaji Zake pia, kitu ambacho kinafanya wasanii wengine wakose kung’aa kwenye vipindi vyake vya Tv.
Wasanii kama akina Idris, Lulu, Mwana Fa, Fid q, wema , Irene uwoya, barnaba na baadhi ya mastaa
Leo kidogo nimemuelewa Nikki mbishi hoja yake Ni kwamba salama anahoji watu wake wa karibu badala ya kuiangalia watu wengine ambao ni maarufu lakini hawana ukaribu na salamaKipindi cha Salama wanahojiwa watu maarufu na watakaoleta impact kibiashara maana kipindi kina matangazo na pia kinaruka live kwenye all platforms ikiwepo apple , spotify , audiomack n.k
Sasa mwenye kipindi anahoji watu ambao yeye anaona wana impact kwenye biashara yake na lazima anakuwa ametarget specific audience,
Sasa huyo Niki Mbishi inabidi ahojiwe na shilawadu, sizi kitaa na refresh kwasababu contents zake zinatosha huko asilazimishe kuhojiwa na Salama
Leo kidogo nimemuelewa Nikki mbishi hoja yake Ni kwamba salama anahoji watu wake wa karibu badala ya kuiangalia watu wengine ambao ni maarufu lakini hawana ukaribu na salama
warumi nakuunga mkono kwa asimilia 💯 pamoja na kwamba Nikki mbishi Ni mtu wa malalamiko lakini hoja yake hii inamashiko salama anatakiwa ajue ili kutanua kipindi Chake anapaswa asijikite Pekee kuhoji washikaji wake pia na wengine ambao si washikaji wake tofauti na hapo atakuwa Kama anafanya group charity na si biashara.Licha ya kuwa Salama Jabir ni kati ya watangazaji wachache wenye mvuto na waledi kwenye career yake hiyo, Msanii wa hip hop, Nikki mbishi, amemvaa Mtangazi huyo mwenye hulka ya ki tomboy na kumwambia kuwa vipindi vyake karibia vyote huwa anawahoji wasanii ambao ni washkaji zake, akatolea mfano baadhi ya vipindi ambavyo alikuwa anawahoji wasanii wale wale ....
Ila nadhani Hata mimi nimegundua hiki kitu, Salama ana wasanii wake ambao huwa anapenda sana kufanya nao enterview mara kwa mara ambao mara nyingi ni washkaji Zake pia, kitu ambacho kinafanya wasanii wengine wakose kung’aa kwenye vipindi vyake vya Tv.
Wasanii kama akina Idris, Lulu, Mwana Fa, Fid q, wema , Irene uwoya, barnaba na baadhi ya mastaa
Salama anamuiga sana Ellen, i love them both, ila sasa kuna vingine ambavyo wala havihitaji mtaji wala nini ni ubunifu tu Ellen anampita Salama au Salama amegoma kuviiga kwa Ellen,Halafu huwa namfananisha na Ellen pia, salama she is so smart , yule hakutakiwa kuwa bongo sema basi tu , Tatizo ana deal sana na only Top celebrities ambao nj mashoga zake, ila kana IQ kubwa sana na kana communication skills nzuri , Sijui kalisomag wapi , kwa hapa bongo sijaona wa calibre yake
Halafu huwa namfananisha na Ellen pia, salama she is so smart , yule hakutakiwa kuwa bongo sema basi tu , Tatizo ana deal sana na only Top celebrities ambao nj mashoga zake, ila kana IQ kubwa sana na kana communication skills nzuri , Sijui kalisomag wapi , kwa hapa bongo sijaona wa calibre yake
Ooh kuhusu IQ kubwa, lesbians tuna Iq kubwa na communication skills nzuri,
Nazungumzia real lesbians sio hao wanaoiga.
Upo sahihi kabisa, kikubwa tunafatisha vipaji vyetu na tunavitumikia kwa moyo wote, hatuna marafiki wengi, hatupendi sana kujichanganya na watu, tupo selective na watu wa kua nao karibu,Hata Gays pia wako hivyo, wengi ni wabunifu na wenye vipaji vya kutisha, pia wengi wao ni matajiri wa kutisha especially wale walio kwenye tasnia za sanaa ; Uigizaji, muziki, utangazaji, u modo n.k . Watu wa aina hiyo wengi huwa na vipaji vya kutisha, Sijui kuna siri gani nyuma ya pazia
Ndio aise,si unajua wakijaga huku Arusha waigizaji tunaenda kusumbua tu mradi majaji wacheke machalii zetu wapite mchujo.Vip mzee,mliemda kumuimbia mashairi?