Ellen Ni Nani ?na anafanya Nini? Na yupo kwenye kipindi gani? TumjueSalama anamuiga sana Ellen, i love them both, ila sasa kuna vingine ambavyo wala havihitaji mtaji wala nini ni ubunifu tu Ellen anampita Salama au Salama amegoma kuviiga kwa Ellen,
Salama Na (hapa anaangalia upepo unapoenda anapita nao), muhimu alenge vijana, wahenga, wake kwa waume.
warumi huyo Ellen Ni Nani?Yeah akumbuke it’s not about her, it’s about mashabiki, sasa kama akitaka kupiga story na marafiki zake akapigie nyumban kwake na asituonyeshe kwa Tv
Nikki mbishi hajajizungumzia Kama yeye amezungumza in general salama anawahoji watu wenye ukaribu nae zaidiHaha Nikki yupo na point , ila Skuizi watu wana tafuta Viewers kama sio msanii maarufu au Infuencer kwa namna yoyote Salama sio rahisi akuweke kwenye kipindi chake, hata kwenye vipindi vya redio focus kubwa ni viewers/listeners kama huwezi waletea unakaa pembeni. Pia kuna wasanii wengine hawahojiki kama Nikki mwenyewe utata utata na ujuaji mwingi hakawii kuongea mbovu au hata kuzirusha kwenye interview. Cha msingi kukaza haswa kwenye category zao na kurekebisha tabia watahojiwa sana.
Asante mkuu duh! Kweli wewe Ni mfuatiliaji kwel kwel wa Burudani.
Nikki mbishi hajajizungumzia Kama yeye amezungumza in general salama anawahoji watu wenye ukaribu nae zaidi
Kwahiyo huyo mama Ni fundi wa mahojiano?Nyie watu siwawezi me hata simjui nyie sijui mmemjuajeAnaitwa Ellen Degeneres, mgoogle ujionee mwenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Endelea tu kutupa Burudani ila nimeshangaa kutotupa ubuyu wa wolper na chidy design hii habari naona Kama umeikaushia hiviMy name is Warumi aka the legend, the gossip cop[emoji23]... nipo na nitakuwepo
Oh kwa mtazamo huo yupo sahihi, Salama ana bias kwenye kazi zake.
Kupanic kwenyewe huko ndio kunanogesha interviewAna base na wasanii ambao ana ukaribu nao na anawamudu.. salama ako na maswali makali sana na haogopagi kuuliza, so baadh Ya watu huwa hawawezi kuvumilia hilo unakuta wanaanza kugombana... salama hat ukiwa na scandal ya ushoga au uchawi lazima akuchimbe deep, inshort huwa anauliza maswali ambayo watu wengi wanatamani kusikia, too bad it doesn’t work kwa kila msanii wengine wana panick
Kwenye introduction ya kipindi huwa anatamka kwamba anao wahoji ni marafiki zake, so kipindi ni Salama na marafiki zake.
Sasa kama Nikki Mbishi siyo rafiki, hawezi kutokea.
Labda kama Salama angesema ni kipindi kwa ajili ya wote halafu akaita marafiki zake tu ndo ingekuwa kakosea, otherwise maudhui ya kipindi yanaendana na anaowaita.
Ukifuatilia talk shows za nje huwezi acha kumjua maana ni moja ya A'list names kwenye interviews huko mbele. Ni comedian flani hivi pia ni open lesbian.Kwahiyo huyo mama Ni fundi wa mahojiano?Nyie watu siwawezi me hata simjui nyie sijui mmemjuaje
In this fucking world you don’t have to be real......just be smartHii ndio sababu Nikki atagombana na kila mtu..jamaa yuko too real. Kama mtu anakosea anamchana hapo hapo, kama hapendi kitu anasema hapendi (hata akipenda kitu anasema mana haters wanaweza kusema jamaa anapenda negativity, mfano jana ka post Instagram yake anaimba wimbo wa Foby, ibranation na caren halafu akausifia na kuwa tag)
Shida wabongo wengi wanafiki, hatupendi ukweli
Dah afu mi najuaga mko serious... Kumbe mnafanyaga makusudi mchekesheNdio aise,si unajua wakijaga huku Arusha waigizaji tunaenda kusumbua tu mradi majaji wacheke machalii zetu wapite mchujo.