Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Noma sanasimuhitaji wema sepetu shigongo amgeuze bongo fever,
namuhitaji demu mwenye akili zaidi ya condoleezza rice
Nikki jangiliNini mnataka mazee/
Mafansi hawakujibu/
Zamani wangejibu Rhymes/
Leo imebaki aibu.
Nyakati.
Penda kazi yake udwanzi wake achana naoNikki ni mc mkali sana sema mambo yake ya kidwanzi yanafanya nisimkubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa tungi uyoBaba Malcom uyu jamaa free style anaweza sana nakumbuka tulipokuwa tunasoma nae Mist (Must) Mbeya alikuwa ana tuchania sana sema sasa Pombe na wanawake ilikuwa too much na videmu vilikuwa vina mshobokea kipindi icho play boy bado ya motomoto
G.O.M.D
Ana albamu 3 kanda mseto 1Nadhani jamaa na album moja na mixtape mbili (if am wrong correct me).
Nikki ndo the best emcee kwa era hii (including akina Fid q na Joh makini). Ni best kuanzia flow, uandishi (metaphors, word plays, punchlines etc) na freestyle. Anajua sana huyu jamaa.
Tatizo ni kwamba ana usela m*vi sana, ni mlevi, mzee wa ganja, mkorofi, rigid alafu anajisikia sana huyu dogo. Kuna vitu vichache akibadilisha katika tabia zake naona kama atadumu zaidi.
Media pia hazimpi airtime za kutosha kama zamani, sijui tatizo ni nini hapa, ni aina ya ngoma au tabia yake kwao.
Ila All in All, jamaa ni true talent.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usela mavi kivipi ebu elezea kidogo Mimi huwa nakutana nae niambie nikamchaneNadhani jamaa na album moja na mixtape mbili (if am wrong correct me).
Nikki ndo the best emcee kwa era hii (including akina Fid q na Joh makini). Ni best kuanzia flow, uandishi (metaphors, word plays, punchlines etc) na freestyle. Anajua sana huyu jamaa.
Tatizo ni kwamba ana usela m*vi sana, ni mlevi, mzee wa ganja, mkorofi, rigid alafu anajisikia sana huyu dogo. Kuna vitu vichache akibadilisha katika tabia zake naona kama atadumu zaidi.
Media pia hazimpi airtime za kutosha kama zamani, sijui tatizo ni nini hapa, ni aina ya ngoma au tabia yake kwao.
Ila All in All, jamaa ni true talent.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yapi hayoNikki ni mc mkali sana sema mambo yake ya kidwanzi yanafanya nisimkubali
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sanaMimi ngoma nnayoikubari ambayo nikiisikiliza inabiwazisha sana ni nyakati za mashaka.
Beat kali, grace matata kapiga bonge la chorus nikki kaua na maujumbe yanayo nigusa.
Nyakati za mashaka hizi
Na kukosa imani ni rahisi
Nini mnataka mazee, mafans hawakuelewi
Zamani walijubu rhymes, leo imebaki aibu
6.malimwenguOi yeah.
Kama heading inavyojieleza huu ni Uzi special kwa mashabiki wa MC bora kutoka bongo Nikki mbishi
King of freestyle East Africa
Ambae anatambulika kwa umahili wake anapokuwa ameshika kipaza[emoji441]
Yeah.naomba tukutane hapa mashabiki wa huyu msanii na kwa ambao hawamfahamu ni msanii pekee anaongoza kwa kuwa na album nyingi bongo na albamu zake zinakwenda kwa majina yafuatayo
1.SAUTI YA JOGOO
2.MALCOM XI
3.UFUNUO WA UNJU
Sio pekee nilizozitaja ila zipo nyingne ambazo sijazitaja
Na hii ndyo top five ya ngoma zake nazozikubali kama shabiki yake namba 1
1.nyakati za mashaka
2.Sauti ya jogok
3.wako wapi?
4.play boy
5.where my crown at
Naomba kuwasilisha kwenu
Babubomba,Dr unju, Baba malcom,
What abt Kendrick Lamar?Siku zote real MC's hawawi na mafanikio makubwa kiuchumi. Hebu mlinganishe Future na mtu kama Royce da 59. Au hata akina Drek na mtu kama Nas. Nikki Mbishi is a hell of a talent. Na siku zote, lazima uwe smart upstairs ili uwaelewe watu kama Felix King, Zamani, Nikki, One, Sterio, Nash MC and the likeKama unaubongo mwepesi lazima uone ka niwazinguaji.
Sent using Jamii Forums mobile app