Nikki Mbishi fans special thread

Nikki Mbishi fans special thread

Siku zote real MC's hawawi na mafanikio makubwa kiuchumi. Hebu mlinganishe Future na mtu kama Royce da 59. Au hata akina Drek na mtu kama Nas.

Nikki Mbishi is a hell of a talent. Na siku zote, lazima uwe smart upstairs ili uwaelewe watu kama Nikki, One, Sterio, Nash MC and the like!

Kama unaubongo mwepesi lazima uone ka niwazinguaji.

- KANA -
 
Baba Malcom uyu jamaa free style anaweza sana nakumbuka tulipokuwa tunasoma nae Mist (Must) Mbeya alikuwa ana tuchania sana sema sasa Pombe na wanawake ilikuwa too much na videmu vilikuwa vina mshobokea kipindi icho play boy bado ya motomoto

G.O.M.D
 
Nadhani jamaa na album moja na mixtape mbili (if am wrong correct me).

Nikki ndo the best emcee kwa era hii (including akina Fid q na Joh makini). Ni best kuanzia flow, uandishi (metaphors, word plays, punchlines etc) na freestyle. Anajua sana huyu jamaa.

Tatizo ni kwamba ana usela m*vi sana, ni mlevi, mzee wa ganja, mkorofi, rigid alafu anajisikia sana huyu dogo. Kuna vitu vichache akibadilisha katika tabia zake naona kama atadumu zaidi.

Media pia hazimpi airtime za kutosha kama zamani, sijui tatizo ni nini hapa, ni aina ya ngoma au tabia yake kwao.

Ila All in All, jamaa ni true talent.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Malcom uyu jamaa free style anaweza sana nakumbuka tulipokuwa tunasoma nae Mist (Must) Mbeya alikuwa ana tuchania sana sema sasa Pombe na wanawake ilikuwa too much na videmu vilikuwa vina mshobokea kipindi icho play boy bado ya motomoto

G.O.M.D
Mzee wa tungi uyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani jamaa na album moja na mixtape mbili (if am wrong correct me).

Nikki ndo the best emcee kwa era hii (including akina Fid q na Joh makini). Ni best kuanzia flow, uandishi (metaphors, word plays, punchlines etc) na freestyle. Anajua sana huyu jamaa.

Tatizo ni kwamba ana usela m*vi sana, ni mlevi, mzee wa ganja, mkorofi, rigid alafu anajisikia sana huyu dogo. Kuna vitu vichache akibadilisha katika tabia zake naona kama atadumu zaidi.

Media pia hazimpi airtime za kutosha kama zamani, sijui tatizo ni nini hapa, ni aina ya ngoma au tabia yake kwao.

Ila All in All, jamaa ni true talent.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana albamu 3 kanda mseto 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani jamaa na album moja na mixtape mbili (if am wrong correct me).

Nikki ndo the best emcee kwa era hii (including akina Fid q na Joh makini). Ni best kuanzia flow, uandishi (metaphors, word plays, punchlines etc) na freestyle. Anajua sana huyu jamaa.

Tatizo ni kwamba ana usela m*vi sana, ni mlevi, mzee wa ganja, mkorofi, rigid alafu anajisikia sana huyu dogo. Kuna vitu vichache akibadilisha katika tabia zake naona kama atadumu zaidi.

Media pia hazimpi airtime za kutosha kama zamani, sijui tatizo ni nini hapa, ni aina ya ngoma au tabia yake kwao.

Ila All in All, jamaa ni true talent.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usela mavi kivipi ebu elezea kidogo Mimi huwa nakutana nae niambie nikamchane
 
Mimi ngoma nnayoikubari ambayo nikiisikiliza inabiwazisha sana ni nyakati za mashaka.
Beat kali, grace matata kapiga bonge la chorus nikki kaua na maujumbe yanayo nigusa.
Nyakati za mashaka hizi
Na kukosa imani ni rahisi

Nini mnataka mazee, mafans hawakuelewi
Zamani walijubu rhymes, leo imebaki aibu
 
Siku zote real MC's hawawi na mafanikio makubwa kiuchumi. Hebu mlinganishe Future na mtu kama Royce da 59. Au hata akina Drek na mtu kama Nas. Nikki Mbishi is a hell of a talent. Na siku zote, lazima uwe smart upstairs ili uwaelewe watu kama Felix King, Zamani, Nikki, One, Sterio, Nash MC and the likeKama unaubongo mwepesi lazima uone ka niwazinguaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ngoma nnayoikubari ambayo nikiisikiliza inabiwazisha sana ni nyakati za mashaka.
Beat kali, grace matata kapiga bonge la chorus nikki kaua na maujumbe yanayo nigusa.
Nyakati za mashaka hizi
Na kukosa imani ni rahisi

Nini mnataka mazee, mafans hawakuelewi
Zamani walijubu rhymes, leo imebaki aibu
Noma sana
 
Oi yeah.
Kama heading inavyojieleza huu ni Uzi special kwa mashabiki wa MC bora kutoka bongo Nikki mbishi

King of freestyle East Africa
Ambae anatambulika kwa umahili wake anapokuwa ameshika kipaza[emoji441]

Yeah.naomba tukutane hapa mashabiki wa huyu msanii na kwa ambao hawamfahamu ni msanii pekee anaongoza kwa kuwa na album nyingi bongo na albamu zake zinakwenda kwa majina yafuatayo
1.SAUTI YA JOGOO
2.MALCOM XI
3.UFUNUO WA UNJU
Sio pekee nilizozitaja ila zipo nyingne ambazo sijazitaja

Na hii ndyo top five ya ngoma zake nazozikubali kama shabiki yake namba 1
1.nyakati za mashaka
2.Sauti ya jogok
3.wako wapi?
4.play boy
5.where my crown at
Naomba kuwasilisha kwenu

Babubomba,Dr unju, Baba malcom,
6.malimwengu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote real MC's hawawi na mafanikio makubwa kiuchumi. Hebu mlinganishe Future na mtu kama Royce da 59. Au hata akina Drek na mtu kama Nas. Nikki Mbishi is a hell of a talent. Na siku zote, lazima uwe smart upstairs ili uwaelewe watu kama Felix King, Zamani, Nikki, One, Sterio, Nash MC and the likeKama unaubongo mwepesi lazima uone ka niwazinguaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
What abt Kendrick Lamar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa yenu hataki kubadilisha mziki kuwa kazi, mambo ya kudumu kwenye mila na kufanya mziki harakati na bado ukawa unakulipa wanafanya wamarekani ambao soko lao liko stable ila sio huku Africa nafasi bado sio nzuri.
 
Back
Top Bottom