Nikki Mbishi fans special thread

jamaa yenu hataki kubadilisha mziki kuwa kazi, mambo ya kudumu kwenye mila na kufanya mziki harakati na bado ukawa unakulipa wanafanya wamarekani ambao soko lao liko stable ila sio huku Africa nafasi bado sio nzuri.
Unataka a change aimbe taarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…