Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Mjumbe nimekupmBaba Malcom uyu jamaa free style anaweza sana nakumbuka tulipokuwa tunasoma nae Mist (Must) Mbeya alikuwa ana tuchania sana sema sasa Pombe na wanawake ilikuwa too much na videmu vilikuwa vina mshobokea kipindi icho play boy bado ya motomoto
G.O.M.D
Sent using Jamii Forums mobile app