Nikki wa II, siasa hazikufai, chunga mdomo wako

Zumbe Kimweru

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2014
Posts
340
Reaction score
27
Nakupa ushauri mdogo wangu Nikki wa II. Nimeona nikupe taarifa mapema kabla hujapotoka. Katika kipindi hiki kuwa makini, hata kama unapenda sana CCM au umeahidiwa chochote.

Muziki wako tunasikiliza watu wengi, wana CCM, UKAWA na wasio na vyama. Utachafua brand yako na history ya muziki wako wa kupigania haki, refer wimbo "Niaje ni vipi?"

Maslahi yako na CCM usiyalete kwa mashabiki, utajisikiliza mwenyewe #Oktoba 25 asubuhi.
 
Sasa yeye kutoa hotuba kwa niaba ya wasanii ndo anajiona amefika, pamoja na shule yake mambo ayafanyayo aisee atapotea kabisa, msanii bila support ya wananchi ni useless. Kuna wasanii mbona wamepiga kimya kuepuka kuwagawa mashabiki. Wasanii wawe makini sana uchaguzi huu la sivyo watakua historia
 
Sio feelings lau ungesema emotions tungekuelewa we bhana vipi?
Hili la wasanii kuwa makini na kauli zao hasa wakati huu wa uchaguzi lina mantiki.
 
Huwezi kuwa msanii kama una akili ya Shule. Hata hivyo katika jalala utapata taka safi, ndo Nikki
 
Nick hajakosea chochote, ww umeshindwa kuelewa hotuba yake sababu umeiacha fikra zako zitawaliwe na feelings na sio logic
mkuuu... sizungumziii hotuba yake kwenye kuaga rais. Huko Clouds anapewa airtime kuzungumzia siasa kwa sababu ya maslahi binafsi, utoaji wake wa maono ni wa kutugawa.
 
Mashabiki siku hizi mna kazi nyingi sana kwa wasanii wenu. walimu ninyi, wana sheria nyie, wahasibu nyie, polisi nyie khaaaa mbona mna gubu hivi? Kama umechoka kumshabikia mtu si uache? Mnawanyanyasa wenzenu kwa kujificha kwenye mwavuli wa ushabiki.
 
Hahahahahhahaha...hawa wasanii wa bongo ni shidaaa,huyu nani sanga sijui anahojiwa hapa,anavyojibu ni shidaaa...hakyanan asili ni asili tu ni kama ngozi....samahan kwa kuingilia uzi
 
Hahahahahhahaha...hawa wasanii wa bongo ni shidaaa,huyu nani sanga sijui anahojiwa hapa,anavyojibu ni shidaaa...hakyanan asili ni asili tu ni kama ngozi....samahan kwa kuingilia uzi

Kajibu utumbo sana na lafudhi yake ya shambani....hajui kujieleza kabisa.
 
Kuna ugonjwa umeanza kuwaingia watu wengi wa kutaka kuwapangia wasanii nini cha kufanya.
 
Huyu jamaa pamoja na masters yake ya D.S bado hawezi kichambua vitu ku link vitu vizuri si siasa, uchumi hata mambo ya kijamii kulikua na kipindi aliki host TV1 yaani ni mjinga mjinga hivi haeleweki sijui anaongea ongea vitu daaahh aiseee shule zingine hizi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…