Nikki yuko smart sana kichwani, pamoja na usanii wake still anawakimbiza wengi tu kiupeo watu mnaowaamini kwenye siasa, tatizo lenu Chadema na UKAWA ni hili mtu akiongea kitu ambacho hamtaki kukisikia mnapanick na anakuwa adui kwenu, yaani nyi kilasiku mnataka msifiwe tuuu mtu akienda kinyume chenu ni tatizo.
Naona saivi kwenye Jukwaa la siasa jamaa anaitwa POLEPOLE anashambuliwa kweli kwenye nyuzi mbalimbali kisa anazungumza msichotaka kukisikia, but siku za nyuma alipokuwa upande wenu mlikuwa mnamsifia sana na kumwita JEMBE. Nikki, we Fanya kazi yako, nakuamini sana, achana na hawa wanaolialia.