Nikki wa II, siasa hazikufai, chunga mdomo wako

Nikki wa II, siasa hazikufai, chunga mdomo wako

Somebody said kuwa hana mtiririko katika hoja zake. Nikki yupo vizuri kwa Kile anachokifanya tatizo JF imejawa na critics wengi, wengine hawana uwezo hata wa kuongea na kuchambua mada kwenye hadhira ila wakiwa nyuma ya simu na laptop they are talking a lot.

Kingine, mashabiki wanaenda mbali sana na privacy za wasanii wao mbona kina juma nature,kala jeremih na ney wa mitego wanapomtembelea Lowassa hamuongei, nachojua kila mtu Ana haki na uhuru wa kuchagua chama na kushikilia msimamo anaoamini hata kama akianguka haidhuru bado atakuwa mwananchi wa kitanzania. Let him live his life.
 
Nick yuko vizuri! Hata wasomi wetu walio na elimu kama yake ni wachache sana wanaweza kuongea kama aliyasema yeye bila kusoma na alie na ushaidi kuwa aliongea kibaya kuhusu ukawa utupie tujadili
 
Nick kama wee ni ccm tusikuone Arusha, uku hatutaki wapuuzi watu tuna makovu kwasababu ya hawa jamaa.

Wewe ni muumini wa ukabila? Arusha nimetoka wapi rafiki? Tutoke huko brother. Unaweza kuwa na hoja nzuri Ila uwasilishaji Ukawa mbada ukafanya watu washindwe kuona kile cha msingi ulichotaka kueleza. Arusha ni Tanzania. Wote wamoja.
 
nilimtumia ujumbe kwenye whatsup..nikamshaur kuwa hata km yy ni ccm achunge ndimi zake..maana naskia kapata kazi shirika moja kubwa la kiserikali alipelekwa na jk..ndo maana amekuwa saut ya ccm
 
Usimtishe wewe, kama hutaki kusikiliza au kununua kazi zake acha, hakuna wa kukubembeleza hapa.

Yaani nyie bavicha kila mtu mwenye fikra na mtizamo tofauti na nyie lazima mumrukia,
 
Huyu jamaa pamoja na masters yake ya D.S bado hawezi kichambua vitu ku link vitu vizuri si siasa, uchumi hata mambo ya kijamii kulikua na kipindi aliki host TV1 yaani ni mjinga mjinga hivi haeleweki sijui anaongea ongea vitu daaahh aiseee shule zingine hizi...

kwa ufupi dogo is overrated....ni vile tu kwenye jamii ya wasanii yeye ndie mwenye afadhali ya ka shule,labda na black rhino na Fa.wenzie wana akili kidogo.
 
NJAA, UMASKINI, UJINGA vinaponza wasanii wa bongo. Ndo maana wanajipiga picha za utupu na kuweka mitandaoni kuona kama watabamba. NJAA inaleta mambo mengi, ikiwemo kugeuka KUWADI,
 
kwa ufupi dogo is overrated....ni vile tu kwenye jamii ya wasanii yeye ndie mwenye afadhali ya ka shule,labda na black rhino na Fa.wenzie wana akili kidogo.
Daaah hivi black rhino bado yupo kweli kwenye game? jamaa nadhani kazi za ofisini zimemtaiti mpaka hasiskiki afadhali ya F.A presence yake inaonekana, ila huyu jamaa nick wa pili kwa kweli inabidi kama ajifunze sema sijui atajifunza wapi maana amepita level za kutosha academic wise ila tafikiri hana shule daaah jamaaa ana ujinga ujinga flani hivi...
 
Kuna watu wa ajabu sana hapa jamvini,kila mwenye ushawishi katika jamii akitofautiana nao waziwazi juu ya hizi siasa wanaanza mikwara ya kijinga.

Haitakaa itokee wote tukawa wafuasi wa chama kimoja ama wote tukawa na mtazamo sawa juu ya mambo yote.

Mbona sijasikia wafuasi wa CCM wakitishia kususia kazi za Prof Jay? Au yeye mashabiki zake wote ni CHADEMA?

Acheni kulialia mazee hii ndo demokrasia yenyewe,pingeni uchambuzi wao kwa hoja siyo bla bla tu.
 
Back
Top Bottom