Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mi nangoja nimt@mb** yule manzi wake si alijifanya kazama Sana mahabani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alizama sana si kitongaMi nangoja nimt@mb** yule manzi wake si alijifanya kazama Sana mahabani
kaka yake anatembelea porte haraf yule mwingine kati ya grandmark 2 au brevis lakin nae anashuka kitonga...ndio maana siwaaminig watoto wa arusha wanapenda sana mtelezovipi kuhusu kaka ake??
wote wanakaa sinza?kaka yake anatembelea porte haraf yule mwingine kati ya grandmark 2 au brevis lakin nae anashuka kitonga...ndio maana siwaaminig watoto wa arusha wanapenda sana mtelezo
Jana tu usiku tumekuwa na s2kizzy hapa studio kwa nje na hapa nilipo gari ya nikki ipo hapa nje studioSwitcher sio boss wa s2kizzy kwa sasa na s2kizzy hayupo switch records sasa huyo quick rocka atamfukuzaje nikki studio kwa s2kizzy
Porte??? Duuuh wasanii wabongo wanafake sana maisha.kaka yake anatembelea porte haraf yule mwingine kati ya grandmark 2 au brevis lakin nae anashuka kitonga...ndio maana siwaaminig watoto wa arusha wanapenda sana mtelezo
ndo ukwel uliopoPorte??? Duuuh wasanii wabongo wanafake sana maisha.
Sijui kwanini watoto wa arusha wanapenda kitonga sana..mi nilijua nikki wa pili life is good kutoka na twitter post zakekaka yake anatembelea porte haraf yule mwingine kati ya grandmark 2 au brevis lakin nae anashuka kitonga...ndio maana siwaaminig watoto wa arusha wanapenda sana mtelezo
Hamna kitu kkSijui kwanini watoto wa arusha wanapenda kitonga sana..mi nilijua nikki wa pili life is good kutoka na twitter post zake
au labda ana miradi kibao ya kusimamia tu. hafanyi yeye kawaweka watu.Hamna kitu kk
Hongera kk ila sio kwa kijana yangu huyu mana namfahamu vizurau labda ana miradi kibao ya kusimamia tu. hafanyi yeye kawaweka watu.
Ni kama mimi, ukiniona unaweza kusema sina kazi maana muda mwingi nipo free, ila kuna watu wana ripoti kwangu maendeleo ya miradi
Mkuu usione ukadhaniSijui kwanini watoto wa arusha wanapenda kitonga sana..mi nilijua nikki wa pili life is good kutoka na twitter post zake
ebwana eheeeee umejuajehata Raum anayotembelea ya mwanamke
mtaa gani nije kurekodi sitaki kazi remixsinza A
Kila show za Fiesta yupo na show nyingine kibao, sijui wanakwama wapiPorte??? Duuuh wasanii wabongo wanafake sana maisha.
Kuna ICD(bandari kavu) fulan kule kurasini ili kumuona ngumu uingiaji wake full kujificha