Kwa tanzania sawa sasa kina shilole kweliMkuu lakini atakuwa msanii pekee kuyameza hayo makaratasi
Elimu ya Bongo ya kutegemea kuajiriwa ni hovyo kweli...na hasa kipindi hiki kigumu hakuna ajira.Siku hizi kusoma imekuwa fasheni utamsikia mtu kitaa anakuambia nimeshamaliza master mzumbe, alaf mida anakupga mznga mm mwenye cheti tu
Hii mistari mitatu ya mwisho umemaliza kila kitu. kudosNaona vijana baada ya kumtia moyo kijana mwenzenu kwa hatua aliyochukua badala yake mnampiga majungu.......sijui kwanini vijana wanakuwa na roho za kwanini....!!??
Roho kama hizi wakizeeka lazima wawe wachawi.......
Haipendezi namna hiyo vijana.....
Shida zako haziwezi kuisha kwa kumchukia aliyefanikiwa bali kwa kujifunza kupitia kwa aliyefanikiwa......