mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Kwanza nianze kumpongeza msanii mwimbaji Nikki wa pili ambaye kwa mujibu EATV anasoma PhD kwa sasa.
Tanzania atakuwa msanii wa ngapi kuwa noyo PhD?
Afrika Mashariki je
Afrika Mashariki na Kati je?
Afrika je watakuwa wangapi wenye PhD?
Duniani je akifanikiwa kuipata atakuwa msanii mwimbaji wa ngapi kuwa na PhD?
Any way big up!
Tanzania atakuwa msanii wa ngapi kuwa noyo PhD?
Afrika Mashariki je
Afrika Mashariki na Kati je?
Afrika je watakuwa wangapi wenye PhD?
Duniani je akifanikiwa kuipata atakuwa msanii mwimbaji wa ngapi kuwa na PhD?
Any way big up!