Nikki wa pili msomi wa Phd

Kuna takataka zimekaa darasani lakini ni vilaza wa kutupwa, but unfortunately huwa wanajiona wana akili kubwa BALAA.

Wakiongozwa na,

1. John Pombe

2. Nikki Wa Pili

3. Hamisi Kigwangalla

4. Mwigulu Nchemba
pombe na huyo niki ni washamba sana
 
mshamba sana,mbaya zaidi hajijui kuwa ni mshamba
 
Kwanza aweke proposal yake hapa ya PhD tuichambue
 
Ujumbe umeuona?au shida ni PhD ya niki?unafikiri Phd ndio umekwiva kabisa?
 
Ila mademu wakikupa ukimwi utajiona ni bora genye ungelipoza kwa nyeto tu....

Acheni tu,ngoma sio poa pia....tena mademu wenyewe wa mjini HV daaaah.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…