Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
- Thread starter
- #21
ni ushamba tuAnajionaga mwerefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni ushamba tuAnajionaga mwerefu
pombe na huyo niki ni washamba sanaKuna takataka zimekaa darasani lakini ni vilaza wa kutupwa, but unfortunately huwa wanajiona wana akili kubwa BALAA.
Wakiongozwa na,
1. John Pombe
2. Nikki Wa Pili
3. Hamisi Kigwangalla
4. Mwigulu Nchemba
msomi wa UDSM chuo cha taifamsomi anaandika kama mwanafunzi wa form 2 D
msomi hajui kuandikaNdiye msomi tuliye naye katika taa na sinia!
mshamba sana,mbaya zaidi hajijui kuwa ni mshambaHuyu jamaa hana lolote ni mshamba tu kama mtu anajichua yy kinamuuma nn? Hayo ni maisha yake yy anaingilia amekuwa nani? Kama anataka na yy ajichue sasa! Eti uwoga wamajukumu kila mtu anataratibu zake za maisha uwezi kumuingilia tu ovyo ovyo ashukuru mungu anakipaji anaimba anapata na show basi akijisikia kuropoka anaropoka tu [emoji22]
Mbona tuna proffessor J....Hata hemedy ana phd[emoji23]
Kama ni hivyo hajafika level ya ushamba....mshamba sana,mbaya zaidi hajijui kuwa ni mshamba
Hatari sana hiimsomi hajui kuandika
ndio - ndiyo,huko shuleni ulienda kujifunza ujinga??Ujumbe umeuona?au shida ni PhD ya niki?unafikiri Phd ndio umekwiva kabisa?
Pichu 4evermsomi wa Phd anaandika kujizibiti na hajashtuka zaidi ya masaa 8,na hii sio typing error, anazidiwa kabisa na mtoto wa shule ya msingiView attachment 1247501
anakwambia kujizibitiHuyu jamaa anajionaga Plato hapa bongo
shida sio chaputa shida ni kujizibiti [emoji3][emoji3][emoji3]Wazee wa CHAPUTA lazima wawake
Yupo Mwana FA katulia na shule yake wala hana mbwembweAlafu huwa ANAHISI hakunaliyesoma zaidi yake
Wazee wa CHAPUTA lazima wawake