Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Unataka hoja gani ili uone kama ni mzito?Huyu jamaa kwenye hoja mbona mwepesi sana?
Nashangaa mnavomsifia na usomi.. Usomi sio makaratasi aisee
Na wewe unataka kuwa mama?sawa mama zuri tumekuelewa.
usipanic Mama ZuriNa wewe unataka kuwa mama?
Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021
Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi.
Nikki amekuwa bora kuliko wote kwa kipindi hicho kwa sababu zifuatazo;
Kwa hizo sifa, Nikki anaibuka kuwa msanii bora kwa kizazi hiki.
- Ni msanii mahiri
- Hana kashfa wala kiki yoyote
- Mtulivu Sana
- Ana akili nyingi Sana
- Ni msomi, mwanazuoni
- Hatumii kilevi chochote, tofauti na wasanii wengi
- Ana busara sana
Wito, wasanii na celebrities wengine waige mfano.
View attachment 2004241
Nani kapanick wewe dadausipanic Mama Zuri
MwanaFA ana makando alijihusisha na dona, si vizuri kusema hapa Ila Kama mtu mzima utaelewa.Hizo sifa ulizo Taja anatofauti gani na Mwana Fa mpaka ukasema yeye ndiye bora zaidi?
Nikki wa pili ndio msanii na celebrity bora kabisa kwa kizazi hiki hapa Tanzania kwa muda wa miaka 30 iliyopita 1990-2021
Kuna sababu zinazofanya awe Bora kuliko wote na zipo wazi.
Nikki amekuwa bora kuliko wote kwa kipindi hicho kwa sababu zifuatazo;
Kwa hizo sifa, Nikki anaibuka kuwa msanii bora kwa kizazi hiki.
- Ni msanii mahiri
- Hana kashfa wala kiki yoyote
- Mtulivu Sana
- Ana akili nyingi Sana
- Ni msomi, mwanazuoni
- Hatumii kilevi chochote, tofauti na wasanii wengi
- Ana busara sana
Wito, wasanii na celebrities wengine waige mfano.
View attachment 2004241
punguza jazba mama zuri.Nani kapanick wewe dada
Ungewataja mkuuBora kuliko wote hapo ndo umeteleza, ila japo ni mtazamo wako acha nisikupige mawe. Kwenye generation yake wapo bora zaidi yake wengi tu.
#
Unataka kumsaidia kumaliza?Muulize kashamaliza lile ghorofa lake? Na wewe unawekewa BANDO na Nikki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa mama zuri tumekuelewa.
Unataka kumsaidia kumaliza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa mama zuri tumekuelewa.