Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

kufeli kivipi??mi mbona tangu chekechea napenda tu
 
Alifeli A level ndoana alisoma PSPA.....
huyu dogo nimesoma naye adv KIGOMA HIGH SCHOOL 2004-2006, Hakufeli, alifaulu tu vizuri!

Japo kimuziki alikuwa hajulikani kabsaa maana sherehe zote school hakuwahi kuperfom, waliokuw wakali wa muziki walikuwepo DOGO MEA(olevel)huyu dogo kigoma mjini hakuna asiyemjua!

Gundu (boaz charles) form 5, na wengineo!

kimuziki Nikki amebebwa sana kaka yake nahisi KIPAJI HANA ANAFORCE!
 
Back
Top Bottom