Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

Yawezekana watu wengi wana comment hapa hawajaiangalia hiyo Interview au kwakuwa wanamjua huko mtaani wanavyoishi naye.
Ila kupitia hii interview sijaona sehemu aliyoongea kwa dharau, hakuna sehemu aliyojitapa kuwa yeye ni mwenye akili nyingi isipokuwa anaelezea alivyokuwa anajituma kusoma kwa bidii kwa kuwa kwake shule ndo ilikuwa mkombozi pekee.
Anasema hajawahi kufeli ila mi nimemuelewa kuwa alimaanisha la saba ambalo kwa maelezo yake anaweka bayana kuwa alipata second selection, na alishawahi kuwa wa pili toka mwisho lkn baadae akajitahidi form four.

Nimependa jamaa alivyoongea anaweza kuwapa moyo hata wadogo zetu wanaofeli au wanaoishi kwenye mazingira magumu kuwa wanayo nafasi ya kufaulu.
Mkuu ni uchawi tu wa Tanzania wengi ni washirikina [emoji23] [emoji23] sadly badly ni vijana huku JF.



[emoji817]
 
Kiasi chake...physics B -geography C- mathematics B..... that was 1996.

Kumbe hata mimi nahitaji interview na milard ayo na niutangazie umma sijawahi kufeli...ahahahaha.
Nick mdogo wangu ukiitwa kwenye interview ongelea music tuu...hizi habari za usomi wako unajidhalilisha dogo...mijitu imesoma na imekaa kimya macho kwenye fedha...njoo university of hard knocks like aliye mbele yako professor na like kinachofanyika darasa na kila jioni kabla ya kulala hofubya pepa is kesho.
Punguza majigambo unawakwaza hata mashabiki wako....
Wewe ni tabularasa hata memkwa hujafikia [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]



[emoji817]
 
prof j anaakili sana kama angelienda darasani angeliongoza maana nyimbo zake nyingi zina maudhui na zinafundisha sana sio kama hawa marapa wa sikuizi wanarap upuuzi tuu na mapenzi na wengine wanaimba kabisa rnb!
Sikiliza nyimbo kama ndio mzee,
Kama unadhani kwenda darasani ndio kuelimika wewe ni wa kupuuzwa (mpuuzi) .



[emoji817]
 
Nikki wa II yuko fine.....nashangaa watu wanachukia kisa anapenda kujiendeleza kielimu.

Nikki ni mshikaji poa sana....hammjui tu.
Mtu akishakuzidi hata kwa idadi ya chawa tu lazima ujiundie defensive mechanism moja wapo ndio hiyo ya wivu Wa Tanzania tusipoacha kuoneana wivu wengi watabakia kucomment tu kwenye success za wengine.



[emoji817]
 
Alifeli A level ndoana alisoma PSPA.....
unajua watu wa PSPA wanachukuliwa wa div gani kwa UDSM hata UDOM?bila Div I huingii PSPA iwe UDSM au UDOM sijui kuhusu Mzumbe, wengi mnaropoka ropoka sana
 
Watanzania tuna wivu sana acha magufuli atunyooshe MTU kusema hajafeli mijitu povu linawatoka
[emoji4] [emoji4] happy am not alone tell them jealous people never win.



[emoji817]
 
Aliwahi kufeli sehemu moja tu alitongoza dem akajinadi yeye ni msomi ana phd ya sanaa dem akamtosa jamaa hakuamini na usomi wake akafeli kuwa hakuwa na vigezo mbele ya binti yule.
 
Mimi simpendi huyu nepi wa tatu ana ringa sana kisa usomi wake...... Afu anajiona bonge la staa wa kitaa. Na mkubali ndugu yake joh makini mwamba wa kaskazini jamaa yuko poa hana maringo na mtu. Lakini sio muarusha huyu asiyejua kiswahili afu anasema hajawahi feli wa kati lugha yake haiwezi vizuri. Sijui alipata ngapi kiswahili.
 
Aliwahi kufeli sehemu moja tu alitongoza dem akajinadi yeye ni msomi ana phd ya sanaa dem akamtosa jamaa hakuamini na usomi wake akafeli kuwa hakuwa na vigezo mbele ya binti yule.
That's so childish stupid sidhani hata kama hiyo PhD amesoma.

Work harder na wewe utoke hata kilimo cha matikiti kinatoa bitchcraft won't help you.



[emoji817]
 
Dah wadau mnadongo knoma mtu kusema neno dogo tu hajawai kufeli mmechambua kupta maelezo.. mbali na pomposity mnayomchukulia pengine amesema hivyo kuwahamasisha watu au jamii kwa ujumla yaan aact kama mentor etc. maana ni kama public figure saiv lazma awe exposed na public life hata wewe unasema hivyo ukiwa interviewed maybe lazma utajikuta unaongelea vitu ulivyopitia pengine hata si kwa dhumuni la kujisifia
 
Sio nikki tu aliyekua hajawahi kufeli, wale waliopita diploma pia wengine hawajawahi kufeli, tunahitaji atleast mwaka upi aliongoza au alikua katika wanafunzi kumi bora
wivu huu ...yeye amesema hajawahi kufeli na sio kua 10 bora
 
Nikki hizi sifa ndio maana sikukubali kabisa nje ya muziki.
Mbona kaka yako Joh mtu poa tu?
Achaga hizo mboyoyo.
aliulizwa umewahi kufeli we unadhani angejibuje......angesema ndio anewahi kufeli mungesema hamumkubali kwa sababu muongo akisema ndio hajawahi mungesema anajisifu angekaa kimya mngedai ana mdharau presenter ....bongo kweli nyoso
 
huyu dogo nimesoma naye adv KIGOMA HIGH SCHOOL 2004-2006, Hakufeli, alifaulu tu vizuri!

Japo kimuziki alikuwa hajulikani kabsaa maana sherehe zote school hakuwahi kuperfom, waliokuw wakali wa muziki walikuwepo DOGO MEA(olevel)huyu dogo kigoma mjini hakuna asiyemjua!

Gundu (boaz charles) form 5, na wengineo!

kimuziki Nikki amebebwa sana kaka yake nahisi KIPAJI HANA ANAFORCE!


hapo mwisho umekosea hana kipaji ?
 
Kiasi chake...physics B -geography C- mathematics B..... that was 1996.

Kumbe hata mimi nahitaji interview na milard ayo na niutangazie umma sijawahi kufeli...ahahahaha.
Nick mdogo wangu ukiitwa kwenye interview ongelea music tuu...hizi habari za usomi wako unajidhalilisha dogo...mijitu imesoma na imekaa kimya macho kwenye fedha...njoo university of hard knocks like aliye mbele yako professor na like kinachofanyika darasa na kila jioni kabla ya kulala hofubya pepa is kesho.
Punguza majigambo unawakwaza hata mashabiki wako....
sasa aliulizwa unewahi kufeli embu msaidie kujibu
 
Back
Top Bottom