Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

Nikki wa Pili: Sijawahi kufeli shuleni

unajua watu wa PSPA wanachukuliwa wa div gani kwa UDSM hata UDOM?bila Div I huingii PSPA iwe UDSM au UDOM sijui kuhusu Mzumbe, wengi mnaropoka ropoka sana
Kuna mtu namjua ana div 1 hiv sasa na amekosa bado UD.. nadhani hata div 1 wanaangalia pia bado ni div yangapi
 
Mimi simpendi huyu nepi wa tatu ana ringa sana kisa usomi wake...... Afu anajiona bonge la staa wa kitaa. Na mkubali ndugu yake joh makini mwamba wa kaskazini jamaa yuko poa hana maringo na mtu. Lakini sio muarusha huyu asiyejua kiswahili afu anasema hajawahi feli wa kati lugha yake haiwezi vizuri. Sijui alipata ngapi kiswahili.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza" ulizia vizuri kwa watu wakaribu Kati ya Nikki na Joh nani anaringa"
 
unajua watu wa PSPA wanachukuliwa wa div gani kwa UDSM hata UDOM?bila Div I huingii PSPA iwe UDSM au UDOM sijui kuhusu Mzumbe, wengi mnaropoka ropoka sana
Naelewa kila kitu kuhusu cut off point za Udsm kabla ya TCU....
 
Wewe huna akili, maana unaongea usichokijua. Hebu check uliyoandika;-
[emoji735] ubavubwa
[emoji735] kitivoni...sijui unamaanisha nini
[emoji735] wanaosanda CASS ni cut off

Yaani hueleweki unacho andika. Tupunuze maneno mengi, kuna mdau kaweka matokeo yake inaonesha ana div I-07.

Weka yako tuone, halafu ueleze na chuo chako tukijue.
Sasa kwa kifupi nilisoma hich chu n kozi niliyosoma mimimum cut off point za nilipokua ninasoma ilikua ni 12.5 point upo hapo....basi wewe ni mshabiki maandazi kama ungelikua umesoma UDSM ungenielewa..ila maana ni mshobokaji ndo mana haujanielewa sawa...
 
Naelewa kila kitu kuhusu cut off point za Udsm kabla ya TCU....
proof.jpg
 
Duuhh!! We jamaa PSPA ya UDSM A level inabd uwe na point 7 b4 2010, baada ya TCU kuanza kudahili point 9....
Nafahamuu sasa hapo hajafeli kitu gani? tena nimesema alifeli A level sababu kwa combination yake huwezi kukimbilia PSPSA tena kabla ya TCU hata Dvsion II.10 ulikua unasoma PSPA kwa private sponsorship upo hapo...
 
kwani yeye alisema TO au hajawahi kufeli......tafta list ya wailofeli uone kama utamkuta wewe si huna kazi anza kutafuta
Kutofeli ni kitu kingine ndugu,yeye kujitapa kwamba hajawahi kufeli ndio kilinilazimu kupitia list ya ma TO pengine ningemkuta kwenye list lakini hola.....Kuna tofauti ya One Point Saba na Three ya 25 ingawa wote wamefaulu na wanaenda Advance.
 
Huyu nae kila mtu akitoa profile zake za shule anawwza kuwa yy ndo amefeli.
Pdid ni drop out akiwa second year mwanamuziki mwenzake na yupo ktk rank nzuri yy Kusoma IDS hapo anaona kashamaliza na wanaomfundisha wasemeje ?

Kwanza anamaanisha kufeli kurudia somo au kurudi nyumbani?
Hivi hajawai pata sapu? au kufanya make up test?
Au anamaanisha nini hajawai kufeli?
Hivi hajui hata maprof wanaweza rudia somo au utafit but anywei Sociology then Development angepitia conas au soed au coet story ingekuwa tofauti
 
Sasa kwa kifupi nilisoma hich chu n kozi niliyosoma mimimum cut off point za nilipokua ninasoma ilikua ni 12.5 point upo hapo....basi wewe ni mshabiki maandazi kama ungelikua umesoma UDSM ungenielewa..ila maana ni mshobokaji ndo mana haujanielewa sawa...
Wewe una shida tena kubwa. Sema umesoma wapi na mwaka gani
 
Kutofeli ni kitu kingine ndugu,yeye kujitapa kwamba hajawahi kufeli ndio kilinilazimu kupitia list ya ma TO pengine ningemkuta kwenye list lakini hola.....Kuna tofauti ya One Point Saba na Three ya 25 ingawa wote wamefaulu na wanaenda Advance.
Haya meza wembe.


[emoji817]
 
Back
Top Bottom