cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnaipendaaa eeeh? Haya nairudisha.Rudisha a avatar ile ile bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnaipendaaa eeeh? Haya nairudisha.Rudisha a avatar ile ile bhana
IntrovertSifa za watu wanaopenda huu mtandao ,ni watu wa kimya kwenye jamii wanaopenda kuzungumza kimoyo moyo.
0692982696Ningekuwa mod ningekulima ban ya mwezi ili huo uraibu ukuishe maana ukianza mambo ya uraibu ni sawa tu na kula nyama ya mtu. Leo utakuwa na uraibu wa JF, kesho uraibu wa betting, mara nyeto, halafu pono, pombe, CCM, ngada, mbususu; na kuendelea.
Mods please piga hii mtu ban ya mwezi; na akifungua akaunti nyingine ungajisha ID halafu piga ban ili tuokoe taifa...😁
Asante sana[emoji23][emoji23][emoji23] umeeleweka!! Taarifa yako inafanyiwa kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii acha hizo bhana.Mimi sio bahili sema nina buku mbili tu nikiwapa 1000 nusu ya uchumi wangu wanaona mimi bahihi.
[emoji120][emoji120]Asante sana
Siku hizi je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamiiforums ilikua tamu ya miaka ya 2010 aisee tulikuwa tuna enjoy sana na tulikuwa tukikutana watu watatu wanne kula sana bata.
Siku kama zile [emoji3526]
😜Siku hizi je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sahivi iko had group sex, wee unakwamaa wapiii?? Uwiiiiih[emoji12]
Tunapiga threesome nowadays Mods wanaharibu mipango PM. Ila tuliinjoi sana kipindi kile
Nipe 🔗[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sahivi iko had group sex, wee unakwamaa wapiii?? Uwiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lipiaa kwaniii.Nipe [emoji821]
Nimekuwa Muhenga sijui [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe Manyanza ni mkongwe kiasi hiki? Binafsi 2013 ilikuwa bora sana kwangu, sitatoa sababu🤣🤣🤣Jamiiforums ilikua tamu ya miaka ya 2010 aisee tulikuwa tuna enjoy sana na tulikuwa tukikutana watu watatu wanne kula sana bata.
Siku kama zile ☺️
Maxence ni kama Bro, nilijiunga 2010 aisee halafu mambo ya Chadema ndio yalikuwa 🔥 🔥 🔥 halafu ukiwa kwenye industry ya IT. Mambo mengi yalikuwa ni accessible sanaKumbe Manyanza ni mkongwe kiasi hiki? Binafsi 2013 ilikuwa bora sana kwangu, sitatoa sababu🤣🤣🤣
Lete lipa namba hiyo 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lipiaa kwaniii.
Kutaka [emoji821], malipoo aaaah
🤣🤣🤣Hii addiction nilikuwa nayo mwaka 2011 wakati nikiwa new member mpaka 2015 hapo.
JF ilikua ya moto kweli mpaka tukaunda na magrp ya whatsapp enzi hizo members mwisho 56
Jamani acheni JF ina pis kali, tumekulana sana huko nje jf kipindi hicho😅😅😅