Niko interested kufungua pharmacy/uwakala wa miamala ya pesa kwa simu

Niko interested kufungua pharmacy/uwakala wa miamala ya pesa kwa simu

Zeddy72

Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
10
Reaction score
28
Habari zenu wakuu,

Experts wa mambo naombeni ushauri hapa. Nina 30mill, niko interested na kufungua Phamarcy/uwakala wa miamala ya pesa (simu na bank).

Je, biashara ipi itafaa na haitanihitaji mda wote eneo la kazi?

Changamoto na faida zake.

Asanteni.
 
Habari zenu wakuu,

Experts wa mambo naombeni ushauri hapa. Nina 30mill, niko interested na kufungua Phamarcy/uwakala wa miamala ya pesa (simu na bank).

Je, biashara ipi itafaa na haitanihitaji mda wote eneo la kazi?

Changamoto na faida zake.

Asanteni.
Hautaki kuwa full time?? Yaani uwekeze halafu uendelee na mambo mengine? Biashara zote zinahitaji uangalizi
 
Hio pesa kama ni pharmacy basi itakua retail pekee unless hilo litakua duka la dawa tu lenye dawa nyingi..
30m ni ndogo sana kwa pharmacy
Anzia kwa vitu kama location premises design
Ukaguzi
Usajili hapo tayari 10m ishaondoka
Hujalipa pharmacist ambaye ndo superintendent
Unabaki na nini?? Labda hapo hio 30m iwe ni mtaji pekee nje ya vitu nilivotaja hapo hapo
 
Pharmacy mtaji wako hautoshi sana ila unaweza ikuza. Jioni ya leo nimetoka kwa rafiki yangu anayo na kaanza taratibu wala usiogope.

Kwa uwakala huo mtaji unaweza kuwa superwakala ukawa na 'floti' kubwa na kuwa na benki zote pia. Tatizo risks zake kubwa na hii inakutaka uwepo zaidi kuliko pharmacy. Pale pharmacy unafunga CCTV na kukagua mahesabu, uwakala ama uweke mtu mwenye akili SANA na mzoefu, ama ukae mwenyewe.
 
Acha ujinga mkuu.. nunua COIN za mtandaoni hutahitaji kufanya kazi nyingine!

Ukinunua mfano coin inaitwa CORE ukafanya kitu tunaita delegation, unakuwa unapata dola za kutosha kila mwezi hukupesa yako uliyowekeza ikibaki kama ilivyo.

Ni pm ukitaka kujua zaidi
 
Hivi kwanini mnaofanya biashara za mitandaoni mnalazimisha sana na wengine wafanye😁
Acha ujinga mkuu.. nunua COIN za mtandaoni hutahitaji kufanya kazi nyingine!

Ukinunua mfano coin inaitwa CORE ukafanya kitu tunaita delegation, unakuwa unapata dola za kutosha kila mwezi hukupesa yako uliyowekeza ikibaki kama ilivyo.

Ni pm ukitaka kujua zaidi
 
Back
Top Bottom