Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
Hayup serious na safari yake anapata muda wa kupiga na pichaShuka
Shiiii ongea taratibu hao ni abiria wenzio watu wa Tanga sio mende wameamua kusafiri bure toka Tanga hadi DarNatoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
Public health Act, 2009.Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
Wacha mende mengine hata na daladsla zina kunguni. Hizo ni nyumba za kulala huko zinakopaki.usiwe unakaa maeneo ya pembeni. Kaa nafasi ya katkati ambako hao wadudu hao hawapendi kujificha.Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shiiii ongea taratibu hao ni abiria wenzio watu wa Tanga sio mende wameamua kusafiri bure toka Tanga hadi Dar
Uliza wazee wanga wakubwa wa Tanga watakuambia
Bus lilinunuliwa jipya watakuwa mende wameletwa na abiria. Hapo ndipo pa kuanzia.Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp
Ilo basi umepandia kituo gan ?Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp