google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
wewe na huyo mtoa huduma ya usafirishaji wote ni wachafu tu hakuna sheria kwenu, toa malalmiko yako kwa wahusika wafanye usafi kwenye gari na ww utumie usafir wenye hadhi nzuri maana siku nyingine utapandishwa fisi sio bure.Natoka Tanga kuja dsm niko kwenye basi lina mende balaa zinazunguka kwani sheria za usafi ziko vp