magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Kuna mahali ametaja simu ya mkononi au mimi nimesoma upesi upesi?Miaka hiyo hakukuwa na simu za mkononi kijijini acha uongo wewe ulipigiwa simu wapi wewe
Fix hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mahali ametaja simu ya mkononi au mimi nimesoma upesi upesi?Miaka hiyo hakukuwa na simu za mkononi kijijini acha uongo wewe ulipigiwa simu wapi wewe
Fix hizo
Mbona hii vita nilisoma ilitokea mwisho mwisho mwa mwez wa 10 1978? Ww April unapigiwa simu?Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Timbwili lianza pale namuaga mama kwamba naenda vitani Kagera Itaendelea
Daah!....kumbe simu zilikuwepo mwaka huo?Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Timbwili lianza pale namuaga mama kwamba naenda vitani Kagera Itaendelea
Ilikua simu au telegram?Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Timbwili lianza pale namuaga mama kwamba naenda vitani Kagera Itaendelea
uongo mtupuCheo kikubwa mno kupigiwa simu mwaka 1978. Simu mwaka 1978 unapigiwa tena ukiwa likizo.
Kwanza ni urongo mtupu.Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Timbwili lianza pale namuaga mama kwamba naenda vitani Kagera Itaendelea
Andika kitabu mkuu, hz story ni tamu Sana, zikionyesha uhodar wa jwatz,kipindi hicho sio hii ya sasa imejaa machawa watupu na vilaza,Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Timbwili lianza pale namuaga mama kwamba naenda vitani Kagera Itaendelea
HahahaM
uongo mtupu
Radio Tanzania ilitutangazia kuwa Idd Amini alivamia mpakani kagera tarehe 27 October, 1978. Tarehe 30 au 31, Nyerere alitangaza kuingia vitani. Ilikuwaje wewe uitwe vitani April 1978, miezi 6 kabla?
Kwahiyo Tukuyu kuna sheria za ndizi tu😅😅😅Kwanza ni urongo mtupu.
Sheria gani za jeshi unasema zipo Tukuyu?
Uongo kabisa huu,simu Tukuyu zilikuwa za kuhesabu Tena za kukoroga na Wengi walikokuwa nazo ni wahindi na Taasisi!Na mpaka uombe posta(900). Operator mpaka apokee lisaa lizima.Njia ya mwongo ni fupi... Simulizi nyingi hapa ni za uongo na wengi hawajui kudanganya kwani wanaumbuliwa na mambo madogo madogo.
Ilikuwa mwezi April mwaka 1978 Niko likizo kwa mujibu wa kanuni za Huko Tukuyu Mbeya kwa wazee wangu.
Kwanza sikufaidi likizo pale nilipopata simu naambiwa nirudi Kagera kimenuka Amini amevamia nchi yetu ilikuwa sio jambo jepesi kulipokea na kuamua kwenda vitani Ambako Haina uhakika wa kurudi.
Itakuwa land lineMiaka hiyo hakukuwa na simu za mkononi kijijini acha uongo wewe ulipigiwa simu wapi wewe
Fix hizo
Nina 58 nilistaafu kwa hiari mwaka Juzi bwana Makongolosi, na pia mm naishi Makongolosi nowUna umri gani Sasa soldier.