Niko Mbeya nataka niwahi Dar leo, nahitaji usafiri, nitachangia mafuta

Niko Mbeya nataka niwahi Dar leo, nahitaji usafiri, nitachangia mafuta

Unatafuta kuja kutolewa Figo familia yako isingizie ni serekali imekuteka, panda gari ya abiria hujashtuka tu kuna biashara ya viungo vya binadam inaendelea wakati huu?
 
Napeleka Corolla yangu kufanyiwa embroidery kwa watu wa Azam mikocheni ,shida ni kuwa Mimi sitembei kwa haraka lakini pia napitia vituo vya wake zangu wote hivyo kufika dar ni baada ya siku tatu .

Labda siku nyingine bro
 
Back
Top Bottom