Niko Morogoro, nina bajeti ya mil 2,500,000/= nahitaji gari ndogo ya kutembelea

Niko Morogoro, nina bajeti ya mil 2,500,000/= nahitaji gari ndogo ya kutembelea

Glas

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
1,243
Reaction score
1,186
Niko Morogoro...nina bajeti ya mil2.5, shida yangu ni gari ndogo ya kutembelea. Ikiwa pamoja na hizi.
Premio
Vitz
Nissan march
Carina
Corrola
Auris

Au yyte nyingine. Naomba msaada wenu kwa mwenye nayo anichek. Natanguliza shukurani.
MREJESHOO
 
Mkuu kwa hiyo budget na gari utakayoipata nakushauri uende kabisa Veta kama sio chuo cha ujenzi ukasomee kozi ya ufundi wa magari kabisaaa na ununue ovaloli utembee nalo kwenye hiyo gari yako.
 
Kiukweli kama unahitaji usafiri kwa ajili ya kufika na kurejea mahala aheri ufanye subira aidha kwa kuendelea kudunduliza uweze kujazia hiyo pesa walau ufikishe 5m utafute Passo yako iliyonyooka au Vitz, ama uamue kuchukua bodaboda yako kama TVS, Boxer au nyinginezo uweze kusogeza siku mpaka hapo mambo yatakapokuwa sawa sawia. Gari ya kiasi hicho ni matatizo na muda si mrefu utalaumu kila mtu duniani!
 
Kiukweli kama unahitaji usafiri kwa ajili ya kufika na kurejea mahala aheri ufanye subira aidha kwa kuendelea kudunduliza uweze kujazia hiyo pesa walau ufikishe 5m utafute Passo yako iliyonyooka au Vitz, ama uamue kuchukua bodaboda yako kama TVS, Boxer au nyinginezo uweze kusogeza siku mpaka hapo mambo yatakapokuwa sawa sawia. Gari ya kiasi hicho ni matatizo na muda si mrefu utalaumu kila mtu duniani!
Unaongea kwa mantiki ya mawazo yw Mkoani hukoooo Kigoma au Ruvuma Mkuu. Amini usiamini kwa Daaaslam kuna wadosi wakishanunua gari alipendalo lile la awali analiondoa kwa bei rahiiiiisi mno, shida huwa na madalali tu.

Kwa macho yangu nimeshuhudia Mdau mmoja akiuziwa Toyota Corolla pale Ubungo Plazza kwa Mil.3 na gari ikiwa namba B na Injini safi shida ilikuwa matairi. Hadi sasa gari hilo ni Teksi Mkoani jamaa anaingiza hesabu kila wiki.

Kwahiyo tusimkatishe tamaaa mhitaji wa Gari la 2.5 atapata DUET saafi, au Corolla matata ambayo siyo pasua kichwa.
 
Unaongea kwa mantiki ya mawazo yw Mkoani hukoooo Kigoma au Ruvuma Mkuu. Amini usiamini kwa Daaaslam kuna wadosi wakishanunua gari alipendalo lile la awali analiondoa kwa bei rahiiiiisi mno, shida huwa na madalali tu. Kwa macho yangu nimeshuhudia Mdau mmoja akiuziwa Toyota Corolla pale Ubungo Plazza kwa Mil.3 na gari ikiwa namba B na Injini safi shida ilikuwa matairi. Hadi sasa gari hilo ni Teksi Mkoani jamaa anaingiza hesabu kila wiki. Kwahiyo tusimkatishe tamaaa mhitaji wa Gari la 2.5 atapata DUET saafi, au Corolla matata ambayo siyo pasua kichwa.
Kaka...nisaidie kama uwezekano upo tafadhali
 
Nishaur kaka cha kufanya
Ongezea pesa mkuu walau 5-7m kama unataka chukulia hapa bongo pia utulize sana akili unaponunua lasivyo utakua na budget nzuri na utapigwa vilevile kama unaweza jambo la kheri kabisa ni agiza nje uje ubikiri mwenyewe kwa hapa kwetu kwa pesa hiyo utanunua mawazo siyo gari ila kama huwezi vumilia bora ununue pikipiki tu boxer au tvs yako saaafi.
 
Unaongea kwa mantiki ya mawazo yw Mkoani hukoooo Kigoma au Ruvuma Mkuu. Amini usiamini kwa Daaaslam kuna wadosi wakishanunua gari alipendalo lile la awali analiondoa kwa bei rahiiiiisi mno, shida huwa na madalali tu. Kwa macho yangu nimeshuhudia Mdau mmoja akiuziwa Toyota Corolla pale Ubungo Plazza kwa Mil.3 na gari ikiwa namba B na Injini safi shida ilikuwa matairi. Hadi sasa gari hilo ni Teksi Mkoani jamaa anaingiza hesabu kila wiki. Kwahiyo tusimkatishe tamaaa mhitaji wa Gari la 2.5 atapata DUET saafi, au Corolla matata ambayo siyo pasua kichwa.
Sasa hizi ni bahati ambazo siyo za wote mjomba.
 
Niko Morogoro...nina bajeti ya mil2.5, shida yangu ni gari ndogo ya kutembelea. Ikiwa pamoja na hizi.

Premio
Vitz
Nissan march
Carina
Corrola
Auris

Au yyte nyingine. Naomba msaada wenu kwa mwenye nayo anichek. Natanguliza shukurani.
Weka mawasiliano yako
 
Mrejeshooooooo......nashukuru Mungu nimepata Gari kwa bajeti yangu ile ile ya 2.5m japo wapo walionikatsha tamaa lakin pia asanten mlionitia moyo...nmepata Gari nzuri tu...iko vzuri mwenye nayo ana safar ya Ulaya so ameniuzia kiroho safi.
ASANTE JF
 
Back
Top Bottom