Niko Morogoro, nina bajeti ya mil 2,500,000/= nahitaji gari ndogo ya kutembelea

Niko Morogoro, nina bajeti ya mil 2,500,000/= nahitaji gari ndogo ya kutembelea

Unaongea kwa mantiki ya mawazo yw Mkoani hukoooo Kigoma au Ruvuma Mkuu. Amini usiamini kwa Daaaslam kuna wadosi wakishanunua gari alipendalo lile la awali analiondoa kwa bei rahiiiiisi mno, shida huwa na madalali tu.

Kwa macho yangu nimeshuhudia Mdau mmoja akiuziwa Toyota Corolla pale Ubungo Plazza kwa Mil.3 na gari ikiwa namba B na Injini safi shida ilikuwa matairi. Hadi sasa gari hilo ni Teksi Mkoani jamaa anaingiza hesabu kila wiki.

Kwahiyo tusimkatishe tamaaa mhitaji wa Gari la 2.5 atapata DUET saafi, au Corolla matata ambayo siyo pasua kichwa.
Kweli watu sijui kwa makusud au kukariri, wanapenda kukatisha tamaa Sana. Mm binafs nimeona gar kma mark 11, chesa, cresta, Gx 100 zinauzwa kuanzia 2 milion na kuendelea zinakuwa nzima. Wengine hawajawai kumiliki magar kwa hiyo wanajua kila gar ni milion nyingi Sana. Tuache kukatisha tamaa
 
Nina march nauza nicheki 0678347976
IMG_9645.jpg
 
Niko Morogoro...nina bajeti ya mil2.5, shida yangu ni gari ndogo ya kutembelea. Ikiwa pamoja na hizi.
Premio
Vitz
Nissan march
Carina
Corrola
Auris

Au yyte nyingine. Naomba msaada wenu kwa mwenye nayo anichek. Natanguliza shukurani.
MREJESHOO

0678347976
 
Back
Top Bottom