Niko na cold war na mpangaji mwezangu. Nifanyeje??

usiogope uswahili, hifadhi vitu ndan kwisha kaz, atalainika tuu
 
jombaa huyo anataka kuharibu pande zote ubaki nae coz anatengeneza fumanizi ili mwenye moyo mwepesi asepe na ukibaki na mmoja nae atamharibia tu ili ubaki nae
so hapo mambo 2 uhame au ukomae kushuhudia vibweka kwa ulionao mpaka uwaache ili aje akumiliki maana hapo anakula coz ya udhaifu wako na ukimla tu hapo hatokanyaga mtu hapo
 
huyo demu anakutaka kwahiyo akili kichwani mwako umle au upige chini

cha pili mkataba ukiisha hapakufai hapo hama
Nahisi kale kaugonjwa kaukubwani kamekuanza ,
mpaka una shauri mwenzio aliwe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Tatizo hapo ni wewe kutotaka kuonekana mswahili.Itakuwa wew ni mkorea si bure.
 

Ahahahahahaha mkuu umerud kweli, nkajua ushanikataa mwanao.

Anyway, ahsante kwa ushaur...nashukuru kwa pongezi pia
 
Umenena vema mkuu hyo hatakiwi kugusa chochote na apewe karipio kali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…