Niko na cold war na mpangaji mwezangu. Nifanyeje??

Daaah mkuu wacha niliyoyafanya chuo Mungu ndio anajua...
Kunakipindi nilijua nimeshaukwaa kabisa mm sitaki tena mambo hayo nimeapa sitatongoza tena msichan.
Ila sijui kama nitaweza..

Mkuu chuon kuna mengi sana.....lait tunayoyafanya vyuon wazazi halisi wangekua wanaona huko waliko basi wangekua dis appointed to the extent ya kutopeleka wadogo zetu vyuoni.

Ni funzo mkuu tusile tena malaya maana tukigusa tu asa hv tuna ukwaa
 
Mbona kama vile huyo Mwanamke ana dalili zote za wale ' Watekaji ' wa akina Roma Mkatoliki na wenzake kwani kwa maelezo yako tu yaliyo ' Kuntu ' anaonekana ana roho mbaya tena ' iliyotukuka ' kabisa.

Mkuu huyu ndug ana roho mbaya mithili ya T bag .....nahisi hata ni mchawi ukizingatia ni mwenyeji wa kigoma
 
Huyo dada ni shida maana sioni haja yakuingilia privacy ya mtu unless anakutaka ila anashindwa kukwambia direct.Uje umgegede kidogo labda atatulia......lol
 
Siamini kama unasumbuliwa na dada mnaeshea korido tu. Huyo ni wa kumnasa makofi.. Wapo wenye matatizo mazito zaidi ambao wanasumbuliwa na madem waliozaa nao.. Dem usipomtoa anatishia kumtelekeza mtt na blah blah mingi...
 
Azabu yake mle na yeye papuch vzr hy ndio itamfaa kula alaf hama OVER
 
Alimshitua aje kufumania so u mean uligawa namba za wote kwa huyo bi dada?
 
Mkuu huyu ndug ana roho mbaya mithili ya T bag .....nahisi hata ni mchawi ukizingatia ni mwenyeji wa kigoma

Kama ni hao Watani zangu ' Waha ' kutoka Mkoani Kigoma wala hujakosea Mkuu ni ' Wachawi ' mno ila sijui kwanini mbele ya sisi Watu wa Mkoa huo ' Ugagula ' wao huwa unaishiwa nguvu na hakuna Watu ambao ' Waha ' wanawaogopa kama wa Jamii ya Wana Musoma ( Mara ).
 
Alimshitua aje kufumania so u mean uligawa namba za wote kwa huyo bi dada?

Kama umenote vizur nmesema huyo anae pendwa na dada poa nae kamaliza chuo ko hana mchongo...hivyo akija geto anakua nae mda ote na mm nnavoenda job namuacha geto hivyo lazima watazoeana to extent ya kubadilishana namba hata maybe kupiga story kuhusu bi dada mwengne.....ila huyu mwengne anasoma ko m nnavosepa asubuh nae anasepa ko amna mazoea na malaya.
 
No no not to that extent, kachoma rice cooker bwanaweeeee,

Ningekua Mimi saizi ningekuja na post inayoelezea namna nlivyowakimbia polisi

Haahhaaaa mkuu unaonekana una hasira sana........bila shaka huyu angekua kwene anga zako bas hii thread ingekua kama hvo umesema kweli
 
Haahhaaaa mkuu unaonekana una hasira sana........bila shaka huyu angekua kwene anga zako bas hii thread ingekua kama hvo umesema kweli
Ingekua ni habar nyingine mkuu
 
Poa mkuu, we mdin.. e tu
 

Chukua RB! au nenda kwenye dawati la jinsia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…