Cha muhimu ni juhudi zenu na uvumilivu....wapo matajiri waliowahi kuwa masikini
Sawa, nimekuelewa.
Asante kwa kunielewa my heartbeat
Kwa hiyo nitembee kifua mbele huku nikiwa na matumaini kuwa siku moja nitakuwa "mtu fulani" sio!![emoji39][emoji39]Hivi Magufuli si huwa anasema alikuwa masikini lakini leo Rais...
Hivi Kikwete si kaandika kitabu chenye jina "Kutoka kijana mtembea peku hadi kuwa Rais"...
Hivi Bakhressa si alikiwa fundi mshona viatu K'koo...
It's always possible to build something out of nothing
Jichanganye umwoe utakuja kulia siku moja!ukweli nampenda huyu mwanamke na naamini nae ananipenda, natamani tuje kuishi pamoja(mke na mume), mimi natoka familia masikini(naweza sema sana) ila mwenzangu amezidi. nimejitoa kua kwa lolote nijitahidi kwa kadri nitakavyoweza, ila kuna muda kuna kasauti kananijia kua haya majukumuni makubwa sana hovyo kama kananishawishi ni stop. silelewi. ingawa kwa asilimia kubwa moyo unanituma kukomaa nae as long personally tuna match.
Mdanganye tu.!Na kushauri mchukue tu sawa msaada kwa familia yao utaombwa ila sio zaid ya unavyo fikiria na ndy itakua moja kati ya chachu ya kupambana kwa bidii ili mjinasue wote kutoka kweny hali ngumu ya kimaisha
Halafu nimekumiss sana ujue!
Ngoja nije chemba.
kiukweli ni masikini wa mali tu lakini akili, hekima, busara anazo. sio slay queen. sema tu kuna muda najiwa na woga kua muhimili wa familia mbili.Kama ni masikini wa Mali tu lakini matajiri wa akili, busara na hekimu you are safe brother.....lakini kama ndo ni slay queen...hana future...hana akili..hana mwili wa kimabavu wa kuchakarika mean anamiliki maneno ya ushawishi tu TUTATAFUTA you are not safe
Nimekumiss zaidi
Halafu leo mchana nilitaka nikuulize kitu(cha kijinga) nikahofia utauona ujinga wangu....halafu badae nikajisemea kwa wewe hata ukiujua ujinga wangu haina shida 😅😂
Naona kama tayari umeji nyanyapaa kwa kujiwekea tabaka. Na ukasahau kwamba penye mapenzi ya dhati, tabaka halina nafasi. Yaani penzi la kweli hakichagui kamwe.
Nakuona tayari ukishindwa kulimudu ama kufanya maisha na yule umpendae kwasababu tayari umejiona kama haumfai/hautoshi
Wealth or success is not sexually transmitted.ukweli nampenda huyu mwanamke na naamini nae ananipenda, natamani tuje kuishi pamoja(mke na mume), mimi natoka familia masikini(naweza sema sana) ila mwenzangu amezidi. nimejitoa kua kwa lolote nijitahidi kwa kadri nitakavyoweza, ila kuna muda kuna kasauti kananijia kua haya majukumuni makubwa sana hovyo kama kananishawishi ni stop. silelewi. ingawa kwa asilimia kubwa moyo unanituma kukomaa nae as long personally tuna match.
Ha ha ha, eti cha kijinga!
Nasubiri uniulize, ni hapa hapa au PM?
Obviously PM
Siwezi kuonesha huu ujinga wazi wazi aseee😊
Duh! kaka kama unamjua, wako wengi kweli.Jichanganye umwoe utakuja kulia siku moja!
Otherways huyo mdada ana ajira au elimu ya kuweza kujisimamia hata kwenye biashara iwapo akiwezeshwa na umpime katika hilo kabla hujamwoa ila kama mama wa nyumbani jipange kuhudumia kwao kila mwezi wanaomba hela na ukute ni zile familia zenye watoto wengi jiandae na kusomesha.